sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #61
Ni nadra sana, nadra mnoooo!!! Labda uwe mlevi sana, unadokoa sana bila tahadhari, n.k wengi wakikosea sana sana huamishwa vituo cya kazi kushushwa daraja, n.k. Hii ni tofauti na kwenye biashara, upepo wa kisuli suli ukikupata ndio unaweza kuharibu maisha moja kwa moja, ila kwa watu kama wahindi, waarabu, wapemba, wakinga kwa kuwa wanabebana hata upepo ukipiga kidogo kuna kuinuliwa, Sasa unakuta mtu kabila au ukoo wake hawanaga mambo ya kuinuana, huyu akipigwa na upepo lazima aisome namba.Kwani kazini huwezi kufukuzwa
some times hata kunyanyaswa tu maksudi wakijua huna pa kwenda labda uwaroge! sasa uchawi tuu mpaka liniKwani kazini huwezi kufukuzwa
Umemaliza mkuuu...Mawazo yako yanaweza kuonekana finyu kwa mtu ambaye ameshaingia kwenye biashara na kufanikiwa pakubwa.
Ni ngumu sana kumshawishi mtoto wa Bhakressa ambaye amekulia kwenye mazingira ya biashara na kuona hizi 500M-1B figures kama mauzo ya kila siku kwamba ajira ya kumlipa million 25 kwa mwezi ni bora kuliko biashara!
Ila ukija kwa mtu ambaye baba yake anaendesha duka ambalo faida zake ni kati ya 9000-12,000 kwa siku ni ngumu sana kumshawishi kuwa biashara ni bora kuliko kulipwa 2.5 millions per each month!
Ajira inategemea unaingalia in which dimensions! Kwa maisha ya sasa na uchumi wetu ulivyodorora mtu anayepata ajira ya kumlipa 3.5-5m ana unafuu mkubwa kuliko wafanyabiashara wengi wadogo wadogo wenye mitaji chini ya million 3!
Utafukuzwaje ukiwa uko serikalini? Uzembe uliokithiri utakufanya ufukuzweKwani kazini huwezi kufukuzwa
hata wahadhiri huwa wanakanywa tu waoe πUtafukuzwaje ukiwa uko serikalini? Uzembe uliokithiri utakufanya ufukuzwe
Unasema?! Hivi nyie watu mnaishi wapi? Tokeni ndani ya maboksi hayo. Mshahara wa 6m kila mwezi ni hela ya kubeza biashara? Be serious man! Nilitaka nipite kimya ila uzalendo umenishinda.Nikki wa Pili kazi kaikubali kwa moyo mkunjufu π amna biashara ya kukulipa 6m kila mwezi na kukuwekea mafuta ya gari na bima ya afya π
what about the power? its far more superiorUnasema?! Hivi nyie watu mnaishi wapi? Tokeni ndani ya maboksi hayo. Mshahara wa 6m kila mwezi ni hela ya kubeza biashara? Be serious man! Nilitaka nipite kimya ila uzalendo umenishinda.
Kwahio unafikiri waliojiajiri wengi wamejiajiri kwasababu ya kukosa ajira?! 3m profit per month nayo hela? Pita kariakoo Tafuta unao wajua wakwambie mshiko unaotembea kwenye biashara. Tatizo mnaposema biashara mnaanza kuzungumzia maduka ya Mangi mtaani.Hiyo ya kuponda ajira ni sizitaki mbichi hizi tu yaani ni kwa vile bongo ajira hazipo ila zingekuwepo hata hao waliojiajiri wangezikimbilia! Kuna watu wengi tu wana miaka 30 wameajiriwa wanakunja salary zaidi ya 3M monthly jiulize je ni vijana wangapi wa huo umri waliojiajiri wanakunja profit zaidi ya 3M monthly?
Money is power...at least in civilized society.what about the power? its far more superior
Kariakoo imemezwa na wakinga mkuu, soma paragraph ya mwisho kwenye post, nimewagusia hawa, wapo next levelKwahio unafikiri waliojiajiri wengi wamejiajiri kwasababu ya kukosa ajira?! 3m profit per month nayo hela? Pita kariakoo Tafuta unao wajua wakwambie mshiko unaotembea kwenye biashara. Tatizo mnaposema biashara mnaanza kuzungumzia maduka ya Mangi mtaani.
Sasa wewe biashara unazungumIa duka la Mangi mtaani kwenu?Kariakoo imemezwa na wakinga mkuu, soma paragraph ya mwisho kwenye post, nimewagusia hawa, wapo next level
Power ndo mpango mzima π kamata huyo weka ndani, wafanya biashara full kujikomba kwa mwenye power,πMoney is power...at least in civilized society.
Hongera kwa mtazamo wako ila hizo 2m utazikwa nazo? Wanao watarithi mini? Ukifika miaka 60 utapewa mfano 150,000,000 utazifanyia kitu gani?Mtu anaamka kila siku miaka nenda rudi anafungua duka alafajiri mpaka usiku na faida yenyewe haizidi hata elf 30 kwa siku, Ni wapi anapata confidence ya kusema ajira ni utumwa kwa mwenzake anaeiingiza milioni 2 kila mwezi, siku 150 za kupumzika kila mwaka, akiumwa bado anapata mshahara, anaingia kazini saa 2 anatoka saa 11 jioni, kuna posho, n.k, Ni wapi anatoa hii confidence.
Wewe Baki kwenye ajira. Pia endelea kujipa moyo uko vizuri Kwa kujilingaanisha na Mangi shop mtaani kwenu. ILA utakapokutana na wenzako ambao mshahara wako wa mwezi wanaingiza siku moja utaelewa kujiajiri sio duka la Mangi tuPower ndo mpango mzima π kamata huyo weka ndani, wafanya biashara full kujikomba kwa mwenye power,π
Sawa mkuu. Nasi tutajitahidi kidogo kidogo tufike huko.Kwahio unafikiri waliojiajiri wengi wamejiajiri kwasababu ya kukosa ajira?! 3m profit per month nayo hela? Pita kariakoo Tafuta unao wajua wakwambie mshiko unaotembea kwenye biashara. Tatizo mnaposema biashara mnaanza kuzungumzia maduka ya Mangi mtaani.