Siyo kweli.
Kingereza hakina asili.
Kiarabu hakibadiliki lafdhi yake, usichanganye lafdhi za watu na lafdhi ya lugha. Kiarabu kinavyoandikwa ndivyo kinavyotamkwa, popote utapo kuwepo.
Kiarabu tunafundishwa madrasa Tanzania ndicho kile kile anachofundishwa madrasa Mchina kwao China. Na hata tukienda kusali China au iwe umatumbini, Kiarabu kinabaki kuwa ni kile kile na lafdhi ile ile.
Kiswahili pia, kinabaki na lafdhi ile ile labda waje waliosomea ujimga kubadili mahari wakaiita mahali na mahali wakapaita mahari.
Kigereza ni tofauti kabisa, hakitamkwi kinavyoandikwa. Mfano inaandikwa "women" inatamkwa "wimen". Inaandikwa "laugh" inatamkwa "laf".
Upo hapo ulipo?