Tusitake kumpelekesha Rais Samia, hapangiwi namna gani aendeshe nchi

Tusitake kumpelekesha Rais Samia, hapangiwi namna gani aendeshe nchi

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
 
Ndugu yangu Igu ,kama umeamua kutuletea vifungu vipandishe hapa,sii kutujia na porojo ili kuhalalisha maslahi yako,kama umepewa jukumu litekeleze kikamilifu na sii nusunusu,unaniambia Mimi kipengele cha 33, Mimi wa kayumba elimu bure naelewa nini,au nawe kayumba elimu bure mwenzangu?
 
Eti anahujumiwa 😀!

Hata mahojiano yake na BBC alivyojibu vibaya maswali, napo alihujumiwa...
Wanawa geti kijani kwa akili zenu mpo tayari hata kuhujumu ugali wenu wenyewe kwa upungufu wenu wa akili na ubinsfsi.
 
Hakuna anayempelekesha ila yanayosemwa ni maoni ya watu ambayo ni haki yao kuyatoa!
Uzi huu hauna mantiki,ni takataka tu!
Mbona kama vile ulichokiandika Wewe hapa ndiyo Takataka tupu Ndugu?
 
Katika mahojiano amekiri wazi hakuwahi kufikiria kama atakuwa Rais, hii ni kauli ya ajabu sana kutoka kwa mtu aliyeteuliwa kuwa makamu wa Rais, hii inadhihirisha kuwa hakuwa na sifa wala uwezo wa kuwa hapo alipo, alidhani hicho cheo kipo kama urembo tu.
 
U
Hakuna anayempelekesha ila yanayosemwa ni maoni ya watu ambayo ni haki yao kuyatoa!
Uzi huu hauna mantiki,ni takataka tu!
Uzi una ujumbe mzito sana,hamjamuelewa tu.ameogopa kuitwa sio raia.
 
Katika mahojiano amekiri wazi hakuwahi kufikiria kama atakuwa Rais, hii ni kauli ya ajabu sana kutoka kwa mtu aliyeteuliwa kuwa makamu wa Rais, hii inadhihirisha kuwa hakuwa na sifa wala uwezo wa kuwa hapo alipo, alidhani hicho cheo kipo kama urembo tu.
Maana yake hskujua kama Masgufuli angekufa kipindi cha urais. Na hakupanga kugombea 2025
 
Manabii /Mitume au viongozi hupangwa/Huletwa na Mwenyezi Mungu.Kama hukupangwa na Mwenyezi Mungu kuwa kiongozi , hata Kama una dhimira ya kuwa Rais/ kiongozi, utagombea Urais miaka nenda rudi na usipate.Kufikiria au kuomba/kugombea nafasi fulani haimaanishi kuwa wewe ndiyo unafaa au unauwezo sana. Kufaa au uwezo wako,wanaweza kuuona watu wengine ambao wamekuona katika utendaji wako au uongozi wako.Wakavutiwa na utendaji wako au staili yako ya uongozi , wakakuchagua au wakakupendekeza kwenye mamlaka za uteuzi uwe kiongozi wao. Viongozi wa aina hii wanakuwa wazuri sana kuliko wale wenye uchu wa madaraka/wanaotia nia,wakaweka matangazo kwenye kuta/madaraka ya barabara zote nchini Tanzania, kuunda kamati za kampeni na kulipa posho kwa wajumbe wa kampeni na wengine ili wapitishe jina lake kwenye mikutano mikuu ya uchaguzi. viongozi wa aina hii wakipata uongozi,kitu Cha kwanza ni kufikiria jinsi ya kulipa fedhila kwa watu waliomfikisha hapo na kulipa madeni. Mama katika moja ya hotuba zake wakati anaongea na umoja wa wanawake Tanzania ,aliwahi kusema kuwa dhamira iliyomsukuma kuomba uwakilishi kwenye Baraza la wawakilishi Zanzibar 2000 kwenye Jimbo moja - Mkoa wa kusini unguja ilikuwa kwenda kuwatetea wapiga kura na kuibana serikali ya Mapinduzi Zanzibar ipeleke maendeleo jimboni kwake.Lakini, baada ya kuchaguliwa,kuwa Mjumbe wa Baraza la wawakilishi akajikuta amechaguliwa kuwa waziri na Rais wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume ,hii inadhihirisha kuwa mama ana Elimu na sifa za kuongoza,na toka wakati huo amekuwa akichaguliwa kuwa waziri katika Baraza la serikali ya Mapinduzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa vipindi tofauti . Hii ni uthibitisho kuwa mama ana sifa na uwezo wa kuongoza.Na siyo mtu mwenye tamaa na uchu wa madaraka.
 
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Mama yako yuko nyumbani kwenu aliyopo Ikulu ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Manabii /Mitume au viongozi hupangwa/Huletwa na Mwenyezi Mungu.Kama hukupangwa na Mwenyezi Mungu kuwa kiongozi , hata Kama una dhimira ya kuwa Rais/ kiongozi, utagombea Urais miaka nenda rudi na usipate.Kufikiria au kuomba/kugombea nafasi fulani haimaanishi kuwa wewe ndiyo unafaa au unauwezo sana. Kufaa au uwezo wako,wanaweza kuuona watu wengine ambao wamekuona katika utendaji wako au uongozi wako.Wakavutiwa na utendaji wako au staili yako ya uongozi , wakakuchagua au wakakupendekeza kwenye mamlaka za uteuzi uwe kiongozi wao. Viongozi wa aina hii wanakuwa wazuri sana kuliko wale wenye uchu wa madaraka/wanaotia nia,wakaweka matangazo kwenye kuta/madaraka ya barabara zote nchini Tanzania, kuunda kamati za kampeni na kulipa posho kwa wajumbe wa kampeni na wengine ili wapitishe jina lake kwenye mikutano mikuu ya uchaguzi. viongozi wa aina hii wakipata uongozi,kitu Cha kwanza ni kufikiria jinsi ya kulipa fedhila kwa watu waliomfikisha hapo na kulipa madeni. Mama katika moja ya hotuba zake wakati anaongea na umoja wa wanawake Tanzania ,aliwahi kusema kuwa dhamira iliyomsukuma kuomba uwakilishi kwenye Baraza la wawakilishi Zanzibar 2000 kwenye Jimbo moja - Mkoa wa kusini unguja ilikuwa kwenda kuwatetea wapiga kura na kuibana serikali ya Mapinduzi Zanzibar ipeleke maendeleo jimboni kwake.Lakini, baada ya kuchaguliwa,kuwa Mjumbe wa Baraza la wawakilishi akajikuta amechaguliwa kuwa waziri na Rais wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume ,hii inadhihirisha kuwa mama ana Elimu na sifa za kuongoza,na toka wakati huo amekuwa akichaguliwa kuwa waziri katika Baraza la serikali ya Mapinduzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa vipindi tofauti . Hii ni uthibitisho kuwa mama ana sifa na uwezo wa kuongoza.Na siyo mtu mwenye tamaa na uchu wa madaraka.

Ndio tumuone sasa tusiandikie mate wakati wino tunao. Aoneshe hizo sifa za kiuongozi kwa vitendo. Kwenye tozo fedha mitandaoni na mafuta ya petrol na kupikia kesha feli tayari.
 
Kama hataki kupewa ushauri aondoke kwenye ofisi ya umma ,2025 milango ipo wazi.
 
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
kama ni hivyo huyo Mchengerwa anavyopanga anawezaje ?
 
Hakuna anayempelekesha ila yanayosemwa ni maoni ya watu ambayo ni haki yao kuyatoa!
Uzi huu hauna mantiki,ni takataka tu!
CHADEMA nilikua nawatetea sana lakini sasaivi nimegundua wanamatatizi, Walivyoona kaingia Samia wakaanza dharau, kule twittani mpk wanamtukana, acha sasa awaonyeshe kuwa yeye ni Rais
 
Back
Top Bottom