Tusitake kumpelekesha Rais Samia, hapangiwi namna gani aendeshe nchi

Tusitake kumpelekesha Rais Samia, hapangiwi namna gani aendeshe nchi

nafurahi jina la mama limeanza kupungua nadhani waitaji wakuu walikuwa ni CHADEMA wakidhani wakifanya mambo yao wataangaliwa tu.

kila mtu ana mama yake huyu aitwe rais au amiri jeshi mkuu basi.

ana wane na wajukuu wanaompenda na yeye anawapenda sana 😀 FULL STOP.
 
Ana mawenge kama wewe ulivyo na mawenge. Hakuna anaempangia afanye vipi kazi yake. Kila mtu anaekosoa utendaje wake anatimiza haki yake kikatiba, ndio maana wale wanaotukana na kuvunja sheria wanawajibishwa.

Tatizo ana wasiwasi sana, akikosololewa anahisi anapinduliwa.
Wangapi ambao wanakosoa wamekamatwa? Mbowe yuko ndani sababu ya katiba mpya na hiyo ni shinikizo la CCM sio kwamba hataki kukosolewa, watu wengi wanamkosoa ila hawakamatwi
 
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Huyu mama hafai uongozi anashauriwa vibaya na haoni hilo.
 
Wangapi ambao wanakosoa wamekamatwa? Mbowe yuko ndani sababu ya katiba mpya na hiyo ni shinikizo la CCM sio kwamba hataki kukosolewa, watu wengi wanamkosoa ila hawakamatwi
Soma tena nilichoandika huenda hujaelewa. Hakuna mahali nimeandika waliomkosoa wamekamatwa.
 
Eti anahujumiwa 😀!

Hata mahojiano yake na BBC alivyojibu vibaya maswali, napo alihujumiwa!

Umeme ukikatika, anahujumiwa!

Kila kinachoenda mrama, eti anahujumiwa!

I’ve never ever heard so much bullshit in my life!
Kichwa cha kuku, hakihimili kilemba (nilikosa hii methali darasa la tano ikanipelekea kupata 98% kwenye pepa ya Kiswahili ya kuingia darasa la sita)
 
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Bahati mbaya katiba ya jmt inwatambua wananchi wrote kama watanzania wenye haki saw a bila kujali itikadi zao.hamna mahali katba imewatambua wananchi kupitia itikadi zao .sasa sijajua katiba unayoongelea kiongozi
 
Bahati mbaya katiba ya jmt inwatambua wananchi wrote kama watanzania wenye haki saw a bila kujali itikadi zao.hamna mahali katba imewatambua wananchi kupitia itikadi zao .sasa sijajua katiba unayoongelea kiongozi
Bwa mdogo umeishia la ngapi?
 
Eti anahujumiwa 😀!

Hata mahojiano yake na BBC alivyojibu vibaya maswali, napo alihujumiwa!

Umeme ukikatika, anahujumiwa!

Kila kinachoenda mrama, eti anahujumiwa!

I’ve never ever heard so much bullshit in my life!

Watu wanaakili za ajabu sana... kumsemea hivyo ni sawa na kusema yeye hana uwezo binafsi wa kufanya lolote
 
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Ndiyo maana tunataka katiba mpya . Hatuwezi kuwa na Rais (kiongozi) asiyehojiwa maamuzi yake. Hapo tunakuwa na mungumutu na si kiongozi.

Tumeshuhudia mataifa yaliofanya vizuri ki uchumi na ki democracy ni yale ambayo kiongozi anawajibika kwa wananchi wake . Si u mungumutu
 
Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?

Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.

Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?

Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?

My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Kama amejiweka hapo madarakani yes. Otherwise huu uliondika ni upumbavu.
 
Thus wanafeli,nchi ni mali ya wananchi thus kuna uchaguzi
 
Back
Top Bottom