Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Ni wapi alikaa uchi kwenye yale mahojiano? Maana niliyasikiliza piakatiba inamlinda ila mahojiano ya juzi yamemuacha uchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi alikaa uchi kwenye yale mahojiano? Maana niliyasikiliza piakatiba inamlinda ila mahojiano ya juzi yamemuacha uchi.
Basi nawe ni takataka maana umefanya kama nilichofanya!Ni ngumu sana kujua Takataka kama nawe pia siyo Takataka vile vile.
Wangapi ambao wanakosoa wamekamatwa? Mbowe yuko ndani sababu ya katiba mpya na hiyo ni shinikizo la CCM sio kwamba hataki kukosolewa, watu wengi wanamkosoa ila hawakamatwiAna mawenge kama wewe ulivyo na mawenge. Hakuna anaempangia afanye vipi kazi yake. Kila mtu anaekosoa utendaje wake anatimiza haki yake kikatiba, ndio maana wale wanaotukana na kuvunja sheria wanawajibishwa.
Tatizo ana wasiwasi sana, akikosololewa anahisi anapinduliwa.
Huyu mama hafai uongozi anashauriwa vibaya na haoni hilo.Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Soma tena nilichoandika huenda hujaelewa. Hakuna mahali nimeandika waliomkosoa wamekamatwa.Wangapi ambao wanakosoa wamekamatwa? Mbowe yuko ndani sababu ya katiba mpya na hiyo ni shinikizo la CCM sio kwamba hataki kukosolewa, watu wengi wanamkosoa ila hawakamatwi
Kichwa cha kuku, hakihimili kilemba (nilikosa hii methali darasa la tano ikanipelekea kupata 98% kwenye pepa ya Kiswahili ya kuingia darasa la sita)Eti anahujumiwa 😀!
Hata mahojiano yake na BBC alivyojibu vibaya maswali, napo alihujumiwa!
Umeme ukikatika, anahujumiwa!
Kila kinachoenda mrama, eti anahujumiwa!
I’ve never ever heard so much bullshit in my life!
Bahati mbaya katiba ya jmt inwatambua wananchi wrote kama watanzania wenye haki saw a bila kujali itikadi zao.hamna mahali katba imewatambua wananchi kupitia itikadi zao .sasa sijajua katiba unayoongelea kiongoziMbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Bwa mdogo umeishia la ngapi?Bahati mbaya katiba ya jmt inwatambua wananchi wrote kama watanzania wenye haki saw a bila kujali itikadi zao.hamna mahali katba imewatambua wananchi kupitia itikadi zao .sasa sijajua katiba unayoongelea kiongozi
Eti anahujumiwa 😀!
Hata mahojiano yake na BBC alivyojibu vibaya maswali, napo alihujumiwa!
Umeme ukikatika, anahujumiwa!
Kila kinachoenda mrama, eti anahujumiwa!
I’ve never ever heard so much bullshit in my life!
Akikosea anahujumiwa, akipatia anaupiga mwingi .Watu wanaakili za ajabu sana... kumsemea hivyo ni sawa na kusema yeye hana uwezo binafsi wa kufanya lolote
amedhihirisha ni mtupu hakuna anachojua zaidi ya uongo-uongo.Kivipi?
Jenga hoja, wewe ndie mjinga na bahati mbaya hujijui kama ni mjinga.Your a stupid guy
Ndiyo maana tunataka katiba mpya . Hatuwezi kuwa na Rais (kiongozi) asiyehojiwa maamuzi yake. Hapo tunakuwa na mungumutu na si kiongozi.Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Kama amejiweka hapo madarakani yes. Otherwise huu uliondika ni upumbavu.Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Mchengerwa ni mkwe .....sasa kazi zitaenda hapokama ni hivyo huyo Mchengerwa anavyopanga anawezaje ?