Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #61
Asiyehojiwa kivipi? Kwani bunge kazi yake nini? Mahakamma?Ndiyo maana tunataka katiba mpya . Hatuwezi kuwa na Rais (kiongozi) asiyehojiwa maamuzi yake. Hapo tunakuwa na mungumutu na si kiongozi.
Tumeshuhudia mataifa yaliofanya vizuri ki uchumi na ki democracy ni yale ambayo kiongozi anawajibika kwa wananchi wake . Si u mungumutu