Kwahiyo kinachotokea ni kulipiza kutokana na dharau za huko twitter?CHADEMA nilikua nawatetea sana lakini sasaivi nimegundua wanamatatizi, Walivyoona kaingia Samia wakaanza dharau, kule twittani mpk wanamtukana, acha sasa awaonyeshe kuwa yeye ni Rais
Comment hii ni takataka!Mbona kama vile ulichokiandika Wewe hapa ndiyo Takataka tupu Ndugu?
Wewe nani unasema tusimpelekeshe rais wetu. Alisema mwenyewe wala hatujamlazimisha kwamba yeye na magufuli ni kitu kimoja. Sasa tunataka aende kimagufuli. Kama hawezi au hataki bora atujulishe tujue asubuhi na mapema.🤸🤸🏋️🏋️Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Ni ngumu sana kujua Takataka kama nawe pia siyo Takataka vile vile.Comment hii ni takataka!
Alijua kazi yake itakuwa kutembea na mkasi tuKatika mahojiano amekiri wazi hakuwahi kufikiria kama atakuwa Rais, hii ni kauli ya ajabu sana kutoka kwa mtu aliyeteuliwa kuwa makamu wa Rais, hii inadhihirisha kuwa hakuwa na sifa wala uwezo wa kuwa hapo alipo, alidhani hicho cheo kipo kama urembo tu.
Ila kuelekea golini kwake mwenyeweTatizo mama anaupiga umwingi lol
Swadaktaaaa....Mbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Mkuu hii ni komenti ya DHAHABU haswaa 💪👊Manabii /Mitume au viongozi hupangwa/Huletwa na Mwenyezi Mungu.Kama hukupangwa na Mwenyezi Mungu kuwa kiongozi , hata Kama una dhimira ya kuwa Rais/ kiongozi, utagombea Urais miaka nenda rudi na usipate.Kufikiria au kuomba/kugombea nafasi fulani haimaanishi kuwa wewe ndiyo unafaa au unauwezo sana. Kufaa au uwezo wako,wanaweza kuuona watu wengine ambao wamekuona katika utendaji wako au uongozi wako.Wakavutiwa na utendaji wako au staili yako ya uongozi , wakakuchagua au wakakupendekeza kwenye mamlaka za uteuzi uwe kiongozi wao. Viongozi wa aina hii wanakuwa wazuri sana kuliko wale wenye uchu wa madaraka/wanaotia nia,wakaweka matangazo kwenye kuta/madaraka ya barabara zote nchini Tanzania, kuunda kamati za kampeni na kulipa posho kwa wajumbe wa kampeni na wengine ili wapitishe jina lake kwenye mikutano mikuu ya uchaguzi. viongozi wa aina hii wakipata uongozi,kitu Cha kwanza ni kufikiria jinsi ya kulipa fedhila kwa watu waliomfikisha hapo na kulipa madeni. Mama katika moja ya hotuba zake wakati anaongea na umoja wa wanawake Tanzania ,aliwahi kusema kuwa dhamira iliyomsukuma kuomba uwakilishi kwenye Baraza la wawakilishi Zanzibar 2000 kwenye Jimbo moja - Mkoa wa kusini unguja ilikuwa kwenda kuwatetea wapiga kura na kuibana serikali ya Mapinduzi Zanzibar ipeleke maendeleo jimboni kwake.Lakini, baada ya kuchaguliwa,kuwa Mjumbe wa Baraza la wawakilishi akajikuta amechaguliwa kuwa waziri na Rais wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume ,hii inadhihirisha kuwa mama ana Elimu na sifa za kuongoza,na toka wakati huo amekuwa akichaguliwa kuwa waziri katika Baraza la serikali ya Mapinduzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa vipindi tofauti . Hii ni uthibitisho kuwa mama ana sifa na uwezo wa kuongoza.Na siyo mtu mwenye tamaa na uchu wa madaraka.
hahahahahMbona hamsomi katiba ya JMT hasa ibara ya 33 na mamlaka ya urais kuongoza taifa la Tanzania?
Head of a state is a head of a state. Msitake kuleta dharau. Mnataka awabembeleze wapinzani ambao sio wazalendo? Acheni dharau.
Mnakaa mnalialia ,mama amebadilika,mama amekuwa dikteta mlikuwa mnataka nini? Awe anawachekea?
Mnataka mfanye dharau zenu dhidi ya mamlaka ya urais ili mjione kuwa wapinzani?
My take: Someni ibara ya 37 ya katiba ya JMT.
Hahaha, big brain ni nani? Gaidi, Lema, Sugu na Msigwa?Rais ambaye anaongelea mambo ambayo yako mahakamani na ambayo pia hayajui ni tatizo kubwa sana, anaongea vitu ambavyo hajui kabisaaaaaa, she is a disaster for that matter, ndiomaana walisema always small brain cant lead big brain hiyo ndivyo ilivyo duniani kote
Amekudanganya nini? Makokangamano ya kudai katiba mpya yanaendelea lini? Maana mlisema ni wilaya kwa wilaya non stophuyo mama enu amekua muongo-muongo mnoo.
Mama ako amejizalilisha mnoo kwenye mahojiano ya BBC.Amekudanganya nini? Makokangamano ya kudai katiba mpya yanaendelea lini? Maana mlisema ni wilaya kwa wilaya non stop
Umesikia wapi Rais anadhalilika? Yule analindwa na katiba hadi anakufa, wanaodhalilika wapo wananyea ndoo UkongaMama ako amejizalilisha mnoo kwenye mahojiano ya BBC.
ni bora akimbie media kama Marehemu Pombe.
katiba inamlinda ila mahojiano ya juzi yamemuacha uchi.Umesikia wapi Rais anadhalilika? Yule analindwa na katiba hadi anakufa, wanaodhalilika wapo wananyea ndoo Ukonga