Tusitetee uovu, Mbowe hayuko juu ya sheria. Kama ana makosa tuache sheria ifuate mkondo

Tusitetee uovu, Mbowe hayuko juu ya sheria. Kama ana makosa tuache sheria ifuate mkondo

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
 
Alipoingia madarakani mama Samia alisema zaidi ya watu 147 wamebambikiwa kesi. Pata picha. Ni hivi ni vyema ukadai katiba mpya ili huu utoto ukome, ama kama unaona katiba mpya itawanyima nafasi ya kuiba kura, basi shauri vyombo vya usalama vipunguze wazee wenye mbinu so outdated.

Hizo mbinu za kubambikia wapinzani ugaidi, zilifanikiwa enzi za Mahita karne iliyopita.Sasa hivi kinachoendelea ni utoto wa hali ya juu. Wananchi wanavidharau hivyo vyombo vya dola maana vinafanya utoto wa hali ya juu, kwa kutumiwa kwenye siasa na chama kilichozeeka.
 
UGAIDI wa Mbowe unatushangaza sana hata kama ninyi mnajua sana kuwajua wahalifu.
Mbona Makonda alifanya ya waziwazi clouds hamkuona UGAIDI ule?
Mbowe hayuko juu ya sheria ila siyo kwa tuhuma za kubumba hizo.
 
Alipoingia madarakani mama Samia alisema zaidi ya watu 147 wamebambikiwa kesi. Pata picha. Ni hivi ni vyema ukadai katiba mpya ili huu utoto ukome, ama kama unaona katiba mpya itawanyima nafasi ya kuiba kura, basi shauri vyombo vya usalama vipunguze wazee wenye mbinu so outdated. Hizo mbinu za kubambikia wapinzani ugaidi, zilifanikiwa enzi za Mahita karne iliyopita.Sasa hivi kinachoendelea ni utoto wa hali ya juu. Wananchi wanavidharau hivyo vyombo vya dola maana vinafanya utoto wa hali ya juu, kwa kutumiwa kwenye siasa na chama kilichozeeka.
tindo habari ya kuiba kura inatoka wapi?
Suala la kubambikia kesi usilihusishe ili kutetea makosa ya Mbowe.
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mharifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Unazungumza sheria?

I hope watampeleka mahakamani, kinyume cha hapo zitakuwa ni hila za wazi.
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mharifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Kwani umekwisha soma wapi au nani anapinga sheria isichukue mkondo wake katika swala la Mbowe na ugaidi?

Unasema "tusitetee uovu" umekwishajuwa kwamba Mbowe kafanya ugaidi?
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mharifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Sheria ipi polisi wametumia kumteka hotelini saa nane usiku na kukaa naye siku mbili bila kuliambia taifa
 
tindo habari ya kuiba kura inatoka wapi?
Suala la kubambikia kesi usilihusishe ili kutetea makosa ya Mbowe.
Vipi kama Mbowe naye anabambikiwa?

Ikiwa ni wazi kabisa watu walishabambikiwa siku za nyuma?

Hivi polisi waliwezaje kumkamata halafu wakakana kwamba hawajamkamata?

Kama siyo uhuni ni nini?
 
Back
Top Bottom