MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Itungwe pia sheria kwamba hakuna "DPP hana nia ya kuendelea na kesi"
Kila anayeshitakiwa akishinda, alipwe fidia kwa muda wake na athari nyingine; tena zitoke kwenye mishahara ya hao state attorneys, tuone kama hawatakuwa na adabu.
Kila anayeshitakiwa akishinda, alipwe fidia kwa muda wake na athari nyingine; tena zitoke kwenye mishahara ya hao state attorneys, tuone kama hawatakuwa na adabu.