Serikali ya CCM inabambikizia wapinzani kesi - hili hata halina mjadala. Mbowe kosa lake ni kuhamasisha watu kudai KATIBA MPYA wakati CCM si ajenda yao kabisa.
Kwa mfano leo akiwa huko huko gelezani akisema ameachana na hiyo kitu kabisa - DPP anafuta kesi bila masharti yoyote yale leo mchana.
Kwa mfano leo akiwa huko huko gelezani akisema ameachana na hiyo kitu kabisa - DPP anafuta kesi bila masharti yoyote yale leo mchana.