Good law and a free judiciary are the pillars of rule of kawHuku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.
Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.
Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Mkuu
Yaani hawa wajinga wanadhani kwavile wana madaraka then wana own wisdom.
Kashikwa Mbowe na kupewa makosa ya kutunga,therefore hapa Tanzania anyone can be abducted and be falsely charged kwa charges zozote wanazojisikia,hivyo hakuna mwanadamu yeyote Tanzania hii yupo salama kwa lolote
Yaani bado Tanzania tupo mashimoni
Hii hali ndio maana hatuitaki,tunataka Katiba Mpya kuondoa huu upumbavu!
Mbowe amefanya uhalifu gani?Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.
Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.
Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Tuhuma ya polis kubambikiza watu kesi haijakaa vizuri kiukweli.Mbowe kwa Nini kesi apewe Leo tangu mwaka Jana?
"Mbowe anajua siasa than all of you put together" hapa ndipo kwenye mzizi wa tatizo huko Chadema.Acheni usenge
Kadanganyeni watoto huko.....
Mbowe anajua siasa than all of you put together hana shida ya kutumia ugaidi kumsaidia lolote
Sasa mnawageuza opposition ni magaidi sasa ndio watakua magaidi kweli kweli
Jipangeni nchi nzima
Kuna siku na nyie maaskari au viongozi wenu watakufa...
Mnageuza watu kutoka kua wapinzani halali wa nchi kwenda kua magaidi wa kweli....
Mnajitafutia matatizo wenyewe kwa kujifanya mnajua kuonea watu sana
Mmeirudisha nchi nyuma sana Mr chagu wa malunde . Na ndiyo maana hizo kesi siku zote zimeshindwa mahakamani . Isipokuwa ni kuwapotezea watu muda na rasilimali fedha.Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.
Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.
Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Mtu mmoja anawezaje kupanga ugaidi? au Kuna kundi alilokuwa anashilikiana nao!Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.
Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.
Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Ivi kuna ugaidi mbaya na ugaidi mzuri, mfano Julius alivyojitoa muhanga na wazee wa pwani ule ni ugaidi wa kundi gani nyie wajuaji. nakuonea haya sana.Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.
Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.
Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Kama hana makosa?Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.
Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.
Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Nulla poena sine legeIvi kuna ugaidi mbaya na ugaidi mzuri, mfano Julius alivyojitoa muhanga na wazee wa pwani ule ni ugaidi wa kundi gani nyie wajuaji. nakuonea haya sana.
Acheni usenge
Kadanganyeni watoto huko.....
Mbowe anajua siasa than all of you put together hana shida ya kutumia ugaidi kumsaidia lolote
Sasa mnawageuza opposition ni magaidi sasa ndio watakua magaidi kweli kweli
Jipangeni nchi nzima
Kuna siku na nyie maaskari au viongozi wenu watakufa...
Mnageuza watu kutoka kua wapinzani halali wa nchi kwenda kua magaidi wa kweli....
Mnajitafutia matatizo wenyewe kwa kujifanya mnajua kuonea watu sana
Blah blah blah
Madai ua ugaidi ni uongo na ya kisenge,thats a FACT!
No one will ever believe this nonsense you are peddling!
Yaani mnadhani Watanzania ni watoto mnaweza danganya anytime?
Get the fvck outta here!