Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Andiko murua kabisa.... ndo mana mimi nna suruali mbili tuu ili wanangu wasome private school kwakuanzia 🙏
 
Mshahara wa NAPE aufiki zaidi ya 15m mpaka marupurupu pamoja na uwaziri wake hata akimpokea rais wa US kama mfukoni hakusomi vyema .Kuna mashirika hapa Tz yanalipa mpaka 15-40m na ni mtu wa kawaida tu ila ana exposure kubwa sana
Kwenye maisha huna exposure utakosa vitu vingi sana ndo maana watanzania wengi waafrika kinachowafelisha hawana exposure
 
Wachaga walikufanyaje,
 
Mtu akiweza kusomesha mtoto hizo shule kimsing maisha kashayamudu kiuchumi hata miaka 50+ ijayo. Hana haja ya connections wala nn, fursa zitamfuata yeye alipo.
 
Mtu akiweza kusomesha mtoto hizo shule kimsing maisha kashayamudu kiuchumi hata miaka 50+ ijayo. Hana haja ya connections wala nn, fursa zitamfuata yeye alipo.
Ishu ni kutoridhika na kuyamudu maisha, inabidi watoto wawe zaidi ya ulipo, kufikiria nje ya box,

Unaweza ukawa na connections na deals hapa bongo unaingiza milioni 100 kila mwezi ila kuna vitu ukicheki kama lugha za kimataifa, exposure, connections za nje, unakuta huna. hapa ndio inabidi upeleke watoto hizo shule.
 


Kavae 2nd🥸🥸🥸 usome vizuri tofauti ya hizo school fees hacha kujipa Moyo, hiyo ni sawa na kusema Gucci na Zara ni sawa 🥵🥵
 
Nimemkumbuka Noreen Mollel wa SCIS

kichwa balaa
 
Kavae 2nd🥸🥸🥸 usome vizuri tofauti ya hizo school fees hacha kujipa Moyo, hiyo ni sawa na kusema Gucci na Zara ni sawa 🥵🥵
Sio kwa ubaya nakwambia nikwamba Nina uhakika nachokisema sio kwa maneno ila kwa vitendo . Naiishia hapa kwa sasa
 
Kavae 2nd🥸🥸🥸 usome vizuri tofauti ya hizo school fees hacha kujipa Moyo, hiyo ni sawa na kusema Gucci na Zara ni sawa 🥵🥵
IST wameweka ada ndefu sababu ki;a mtu anataka apeleke mtoto hapo wana brand kubwa, wanaweza weka haya milioni 100 watu wataenda tu [ia wamefanya hivi ili shule isijae, hao sana sana wana jeuri ya brand ila kuhusu elim mtaala ule ule
 
Mshahara wa NAPE aufiki zaidi ya 15m mpaka marupurupu pamoja na uwaziri wake hata akimpokea rais wa US kama mfukoni hakusomi vyema .Kuna mashirika hapa Tz yanalipa mpaka 15-40m na ni mtu wa kawaida tu ila ana exposure kubwa sana
Hujaelewa tulia uelewe, umejibu kwa makasiriko.
 
Wachuuzi wa bar.😃😃😃😃😃
 
Yeah umeongea fact.
Hasahasa hapo kwenye practical tunatumia vifaa vibovu vilivyonunuliwa mwaka 1940 ni ngumu kumaster unakuta unachonga chuma kwa kutumia lathe machine chuma kinazunguka huku kinakata mauno huwezi kupata accuracy wakati wenzetu wanatumia computerised/CNC machine kazi inaisha fasta.
 
Unasema? Wakati niko sekondari ya serikali zamani hizo, jirani yetu Massawe alikuwa na watoto watatu wanasoma IST Masaki. Majina yao yanaanzia M,A,J. M wa kike, A na J wakiume.

Jirani mwingine mchagga Kirei alikuwa na watoto wawili mapacha wa kike na kiume J na J hapo hapo IST Masaki. Mwingine mama Mary watoto watatu IST Masaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…