Hata ukiolewa au kuoa nawe utakufa tuWanaoongoza kuwananga wasioolewa ni wale wenye ndoa zenye migogoro,na stress zisizoisha
Walioko kwenye ndoa zenye amani
Na wenye furaha na maisha yao
Hawana muda wa kusononesha wenzao,na kuwataka wajione kama kuna kitu hakijakamilika kwenye maisha yao.
Ndoa sio kila kitu kwenye maisha!!!.
@Miss Natafuta una nini lakini wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ukiolewa au kuoa nawe utakufa tu
Ni kweli,hakuna asiyetamani ndoa..basi vile tu tunajifariji[emoji39]Kiuhalisia mwanamke ambaye hajawai kuolewa akaishi na mwanaume ktk maisha ya ndoa hata kama akamilike kimaisha namna gani tamanio lake la kuolewa haliishi adi anazeeka......kwa watu utakuta anatoa kauli za "sizitaki mbichi hizi" lakini mgogoro wa moyoni mwake kutamani kuolewa hauishi.....
[emoji15][emoji15]Mi nimeolewa,hatuongoz kwa kufa ila tunaongoza kwa stress na ndoa zetu.Sitoacha kutetea single mothers wala wasichana age 30s ambao bado hawajaolewa coz ndiko nilikotoka na sijaona umuhimu wa ndoa kiukweli.Nimemiss usingle wangu
DuuhNa nipo kukoma Kweli yaan
Why mnateswa?? Kwanini msitake taraka muachane kuliko hali za namna hiyo??Achana na hiyo, kuna muda inafikia hata unatamani kuwa mjane wakati wowote😢😢😢😢 ......kuna jirani yangu alifiwa na mumewe, sasa ana pacha wake akawa amekuja pale kumuona na yeye ameolewa ujue yule dada akawa anamtamania pacha ake alofiwa anamwambia bora wewe ndugu yangu natamani wangu ndo angekuwa amefariki
Sio kweli kwamba hawapendi ila wana vigezo visivyo na uhalisia. Women marry up i.e they are naturally hypergamous. The higher their education/money the more likely they're going to end up alone. Sio rahisi daktari aolewe na mlinzi hapo hapo hospitali.Wanawake wengi wenye kazi zao hawapendi kuolewa!
When you take away the bullshit and lovey dovey nonsense of young couples, the real reason many relationships last for long is because the man is always in a superior position financially and intellectually compared to the wife. The wife always needs the man financially and intellectually, otherwise she is gone. That is how she sees value in him.Wengi wanaoolewa wana dependence ya aina fulani kwa mwanaume.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Achana na hiyo, kuna muda inafikia hata unatamani kuwa mjane wakati wowote[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] ......kuna jirani yangu alifiwa na mumewe, sasa ana pacha wake akawa amekuja pale kumuona na yeye ameolewa ujue yule dada akawa anamtamania pacha ake alofiwa anamwambia bora wewe ndugu yangu natamani wangu ndo angekuwa amefariki
Huwa sielewi hivi vitu aisee. Wadada mnachanganya sana sana.Ngoja waje kutupa muongozo waliko ndoani teh teh
SawaHivyo vitu ulivyo vitaja Shangazi vyote anavyo plus shule na kazi nzuri,sema yeye mwenyewe naona alikuwa na uhitaji wa mume.
nikutumie na ya kutoleaAlafu sasa jambo lingine ambalo vijana hawajajua hasa mabinti wanaingiaga kwenye ndoa wakiwa na mindset yao kichwani kwamba huyu wangu ni wa tofauti.....eti wanafikiri urafiki wa kimapenzi wa kukutana masaa kwa kuiba ndivyo itavokuwa kwenye ndoa!!! Mwanzoni inatesa sana hii
Wala hatujali .Kwanza wenye ndoa wanaongoza kwa kufa
FACTSio kweli kwamba hawapendi ila wana vigezo visivyo na uhalisia. Women marry up i.e they are naturally hypergamous. The higher their education/money the more likely they're going to end up alone. Sio rahisi daktari aolewe na mlinzi hapo hapo hospitali.
When you take away the bullshit and lovey dovey nonsense of young couples, the real reason many relationships last for long is because the man is always in a superior position financially and intellectually compared to the wife. The wife always needs the man financially and intellectually, otherwise she is gone. That is how she sees value in him.
Mzito kulea familiaAhaaa pole .Nini kimetokea Tena??hakupendi au sio responsible guy??
Eeee laki moja itakuwa 6200 tuNaomba
nikutumie na ya kutolea
Kwaiyo umejiongezea budget?Mzito kulea familia