cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mwegelo anabaki, Shilole, flaviana matata, hawa lazima wawepo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U-DC hapati mark this post!!!Caro la maji lenye Ndosi! Huyu pia nimeona toka siku nyingi,anajipigia mno chapuo
😲🤣🤣Mwegelo anabaki, Shilole, flaviana matata, hawa lazima wawepo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kabla ya hapo anateua kwanza makatibu tawala ambapo kuna wakurungwa msiowataka watarudi..Shilole?? Jokate kama hakuwahi mtunishia msuli Mama kipindi cha boi furendi wake,atabaki! Kama alitunisha msuli kama bashite,ndo imekula kwake! Arudi kwenye urembo wake!
Bashite na bi mkubwa ni damu damu. Mama anakiri nyota yake ya kisiasa iling'arishwa na Bashite wakati wa bunge la katika.Shilole?? Jokate kama hakuwahi mtunishia msuli Mama kipindi cha boi furendi wake,atabaki! Kama alitunisha msuli kama bashite,ndo imekula kwake! Arudi kwenye urembo wake!
Tena Shilole ndio shoga'ke lazima ampe ukuu wa Wilaya ya Kinondoni.Mwegelo anabaki, Shilole, flaviana matata, hawa lazima wawepo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako
Poa. Subiri Shilolole apewe ukuu wa Wilaya ndio utakumbuka huu uzi.Acha matusi kwani WANAUME hakuna malaya!!! Rais Mpaka sasa ameonesha mwelekeo wa kuteua watu wenye uwezo na heshima kwa wananchi na hivyo ndivyo wengi tunategemea atafanya kwenye juteux MaDC na wakurugenzi kwani ni msikivu wa maoni ya wananchi!!
Bora ateuliwe huyo Dada ili wakuu wa wilaya wote nchini wasije wakajiona special saana wilayani kwao... reference itakua "Kama shilole anafanya KAZI hii wewe ni Nani utishie watu na V8 ya serikali?".... Hahahaha.Shilole a.k.a Shishi bebi.
Anaondoka JoJo😂maskin kaenda na mwendazake🏃🏃Shilole?? Jokate kama hakuwahi mtunishia msuli Mama kipindi cha boi furendi wake,atabaki! Kama alitunisha msuli kama bashite,ndo imekula kwake! Arudi kwenye urembo wake!
Mkuu siasa ni jambo mtambuka. Hiv unajua kuwa mama samia kawa maarufu wakati wa bunge maalumu la katiba? hivi unajua kuwa Makonda alitamka ndani ya bunge hilo kuwa huyu mama anafaa kuwa VP na bunge likashangilia?Mama kaanza siasa 1977 Bashite kazaliwa 1982. Tuwe serious kidogo!
Akafie chato hatumhitaj muuaji😂😂Mkuu siasa ni jambo mtambuka. Hiv unajua kuwa mama samia kawa maarufu wakati wa bunge maalumu la katiba? hivi unajua kuwa Makonda alitamka ndani ya bunge hilo kuwa huyu mama anafaa kuwa VP na bunge likashangilia?