Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Ngoja nami nijipigie debe mwenyewe SSH mimi nafaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama si miongoni mwa "wanaopandisha mabega" basi sawa. Anafaa.Mkuu siasa ni jambo mtambuka. Hiv unajua kuwa mama samia kawa maarufu wakati wa bunge maalumu la katiba? hivi unajua kuwa Makonda alitamka ndani ya bunge hilo kuwa huyu mama anafaa kuwa VP na bunge likashangilia?
gang wa pata taabu sanaHaha haha Sukuma Gang wanazidi kupigwa chini
Hii mada haihusiani na sukuma Gang
MkurugenziMama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Unacheka? Subiri uone utakuka nambia.[emoji44][emoji1787][emoji1787]
Shilole, jokate, flaviana matata hawa watu lazima wapewe baadhi ya wilaya kuendesha.Shilole?? Jokate kama hakuwahi mtunishia msuli Mama kipindi cha boi furendi wake,atabaki! Kama alitunisha msuli kama bashite,ndo imekula kwake! Arudi kwenye urembo wake!
Hakika kabisaah yaan.Tena Shilole ndio shoga'ke lazima ampe ukuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Nyie wasukuma Raisi hata ateue vip hamtoridhika hadi mungu wenu wa chato arudi labda,,,,, kafieni mbele uko,Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Kamshauri shangazi yako,,Huo ni ushauri tu.
Shilole zero Brain hawezi kuwa DCShilole, jokate, flaviana matata hawa watu lazima wapewe baadhi ya wilaya kuendesha.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Yule aliyeenda kusalimia kwao majuzi? Yule ambaye kwao ni jirani na Wazirankende[emoji38]Kuna dada mmoja wa nyama choma anajitahidi sana kujipigia chapuo kijanja janja.
Asipoteuliwa sijui!!![emoji1745]
Ha ha ha ha haya bnaaaa....
Yaani hata mradi ukiwa mtangazaji mwenye pambio nyingi unaweza kubahatika kwenye UDC au ukurugenzi......kazi iendelee.Akipata kila mtu nani atamuongoza mwenzake?