Tusubiri vituko teuzi za maDC na maDED

Tusubiri vituko teuzi za maDC na maDED

Mkuu siasa ni jambo mtambuka. Hiv unajua kuwa mama samia kawa maarufu wakati wa bunge maalumu la katiba? hivi unajua kuwa Makonda alitamka ndani ya bunge hilo kuwa huyu mama anafaa kuwa VP na bunge likashangilia?
Mama Samia kaanza siasa miaka 5 kabla ya kuzaliwa kwa Makonda a.k.a Daudi Albert Bashite.
Kwani Bashite alilopoka mambo mangapi? Yote yametimia?
 
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.

Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Hivi on a serious note, huwa mnataka mama afanye nini?
Ushauri wa kuzingatia gender balance mmempa humu mitandaoni mara nyingi. Sasa kasema amewasikia anaufanyia kazi, mnarudi kinyumenyume tena, mna nini?
 
Hivi on a serious note, huwa mnataka mama afanye nini?
Ushauri wa kuzingatia gender balance mmempa humu mitandaoni mara nyingi. Sasa kasema amewasikia anaufanyia kazi, mnarudi kinyumenyume tena, mna nini?
Tuna mapepo. Subirini Shilole apewe hiyo "gender balance".
 
Sasa mbona kichwa na content haviwiani.
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.

Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako
 
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.

Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Mbowe DC Hai hapo vipi?
 
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.

Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Na mtashangaa Ole Sabaya atakapoteulia.

Amandla.
 
Back
Top Bottom