Mama Samia kaanza siasa miaka 5 kabla ya kuzaliwa kwa Makonda a.k.a Daudi Albert Bashite.Mkuu siasa ni jambo mtambuka. Hiv unajua kuwa mama samia kawa maarufu wakati wa bunge maalumu la katiba? hivi unajua kuwa Makonda alitamka ndani ya bunge hilo kuwa huyu mama anafaa kuwa VP na bunge likashangilia?
Hivi on a serious note, huwa mnataka mama afanye nini?Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Tuna mapepo. Subirini Shilole apewe hiyo "gender balance".Hivi on a serious note, huwa mnataka mama afanye nini?
Ushauri wa kuzingatia gender balance mmempa humu mitandaoni mara nyingi. Sasa kasema amewasikia anaufanyia kazi, mnarudi kinyumenyume tena, mna nini?
Mama hana roho ya hivyo akimtoa mtu mahala ni kwa sababu maalum na maranyingi anakuwa amevurnda wenyeweMa-DED tumbo joto. Walijazwaga Wasukuma Sasa zamu ya kinamama.
Hakika....👍👍#Jokate ameimudu sana kisarawe namuombea kwa mama ambakishe hapo hapo amepamudu sana na panaelekea kuwa pa kijanja kweli kweli.
😲🤣🤣Hawana msaada wowote kwangu..
Labda niteuliwe mimi .
Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako
😀Haikwepeki hiyo.Hii mada haihusiani na sukuma Gang
Mbowe DC Hai hapo vipi?Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
mama hayuko low hivyoTuna mapepo. Subirini Shilole apewe hiyo "gender balance".
Na mtashangaa Ole Sabaya atakapoteulia.Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Huyu ni wa kule kwenye jamhuri ya watu wa twitani? au unamsema mwengine...Caro la maji lenye Ndosi! Huyu pia nimeona toka siku nyingi,anajipigia mno chapuo
Ma-DED tumbo joto. Walijazwaga Wasukuma Sasa zamu ya kinamama.
Keki ya nani ? Wapi? Kila watu wale kwaoooh Yes! Inapendeza.