Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona
Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.
Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.
Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.