Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chama kwa kweli kimetufeli sana Watanzania, sisi si nchi ya kuwa hivi, we have everything na potential ya kuwa a superpower ya East Africa.Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona
Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.
Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Yes, meaning tuwakatae CCM wote....hiki chama kimejawa na wanafiki na watu wezi tu huku wakilindana kwa maslahi yao binafsi huku wakilindwa na TAKUKURU.Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Chukulia mfano chama ambacho toka 1992 mpaka Sasa Hakuna kitu na kimepokea ruzuku na kimechangisha watu michango lakini hakina kitu chochote kinacho miliki.... serikali imepanua barabara inayo enda Zambia, imejenga barabara ya lami kutoka Dom iringa nk hayo ndo matumizi ya potential unazozisemaHiki chama kwa kweli kimetufeli sana Watanzania, sisi si nchi ya kuwa hivi, we have everything na potential ya kuwa a superpower ya East Africa.
CCM tuwape Kura za kutosha kwasabu kazi ambazo CCM imefanya toka ianziwe mpaka leo ni kubwa hata mtoto mdogo anaweza akakuelekeza...watu mafsadi wanashindwa hata kuwasomea watu wajue join the chain sh ngap na ipo wapiYes, meaning tuwakatae CCM wote....hiki chama kimejawa na wanafiki na watu wezi tu huku wakilindana kwa maslahi yao binafsi huku wakilindwa na TAKUKURU.
We nawe acha uongo!Unahangaika na upinzani, wakati juzi bunge limepitisha Trilioni 45 za posho kwa nguvu. Punguza unafiki.
Yani kabisa najihimu asubuh naenda kuipigia kura chadema,! hiyo haiji tokea kwangu na ndugu zangu, wao wanaona siasa za utunduutundu zinawapa kiki, wapo wapo tu kuwadanganya watuKura ni maamuzi yako.
Wekeni Tume huru basi na Katiba mpya!Wapiga Kura wa wawapi Mimi nasema uchaguzi hata ukiwa kesho tutaichagua CCM syo nyie wapiga porojo
Je unazungumziaje kura za 2020 za kwenye vibegi. | Unapojibu swali hili kuwa makini, naweza kukuwekea video za 2020Huwa hamuibiwi kura huwa mnakataliwa na wapenda maendeleo
Mimi ninayejua tulikotoka na jinsi tulivyokuwa tunachukuliwa na nchi zilizotuzunguka kama maskini wa mwisho naukubali sana upinzani kwani tangu Kodi ya Kichwa ifutwe kwa shinikizo la Vyama vya Upinzani Tanzania imepaa sana Kijamii,Kiuchumi,Kielimu,Kijiografia na hata Kimataifa.Upinzani kwani umefanya Nini kwahyo unaangalia faida ya maneno...what do they own? Tutachagua CCM
Kwahiyo sera Yenu ni kufuta Kodi ya kichwa syo...unajua Kodi ya kichwa ilifutwa lini na Nani? Uwadanganye wasiojua historia ya Kodi ya kichwa na sababu zakuifuta. Nyie wapinzani onyesheni mmefanya nn toka 1992 mpaka Leo Mambo ya Kodi yanakujaje hapaMimi ninayejua tulikotoka na jinsi tulivyokuwa tunachukuliwa na nchi zilizotuzunguka kama maskini wa mwisho naukubali sana upinzani kwani tangu Kodi ya Kichwa ifutwe kwa shinikizo la Vyama vya Upinzani Tanzania imepaa sana Kijamii,Kiuchumi,Kielimu,Kijiografia na hata Kimataifa.
Imefutwa kipindi cha Awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa rais wa kwanza katika mfumo wa vyama vingi.Kwahiyo sera Yenu ni kufuta Kodi ya kichwa syo...unajua Kodi ya kichwa ilifutwa lini na Nani? Uwadanganye wasiojua historia ya Kodi ya kichwa na sababu zakuifuta. Nyie wapinzani onyesheni mmefanya nn toka 1992 mpaka Leo Mambo ya Kodi yanakujaje hapa