Tutaendelea kuwakataa kwenye sanduku la kura

Tutaendelea kuwakataa kwenye sanduku la kura

Unahangaika na upinzani, wakati juzi bunge limepitisha Trilioni 45 za posho kwa nguvu. Punguza unafiki.
Mbona wakuitoa hyo hela ni serikali lazima itapima mahitaji na matumizi usidhani bunge likishapitisha na mpunga unatoka hapohapo...na hyo hela itakaguliwa pia
 
Usitusemee sisi Wapiga kura! Nyie kama mnajiamini ruhusuni Tume Huru na Katiba Mpya!
Wapiga Kura wa wawapi Mimi nasema uchaguzi hata ukiwa kesho tutaichagua CCM syo nyie wapiga porojo
 
Utapeli upi zaidi ya huu?!!
👇
Mbona Umekwepa hela za join
 
Yaani wewe Jamaa kwa akili yako umefikilia wee umeona Watanzania ni wajinga kiasi hiki? Kwamba wao hawawezi fikili ila wewee utafanya kwa niaba yao? kama Chama chako kinakomfidence kuwa kinakubalika na hatimae kuchaguliwa ,kwanin Uwizi wa Kura unafanyika?

Kwanini Tume huru ya uchaguzi ni Takwa msilolitaka? Kwanin mawakala wa Chaguzi wa upinzani husweka lumande? Kwanin waMagwanda huvaa mabegi kwenye polling stations?

Mwisho kabsaaa ni kitu gani kinawatisha juu ya Katiba mpya shirikishi katika makundi yote ya jamii? Nani mjinga atakubali maandiko yako We jamaa? Mimi nimekataa kuwa mjinga asilani!
HAMNA KITU MNACHOMILIKI ZAIDI YA MANENO TU SS WANANCHI KURA ZETU TUTAIPA CCM... KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona

Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.

Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni

CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Jamani wakataeni kwa haki na msiibe kura wala msiwape polisi mabegi yenye kura zenu! Wekeni fair play halafu mhamasishe wakataliwe! TUONE. CCM bila polisi ni mavi kabisa!!
 
Jamani wakataeni kwa haki na msiibe kura wala msiwape polisi mabegi yenye kura zenu! Wekeni fair play halafu mhamasishe wakataliwe! TUONE. CCM bila polisi ni mavi kabisa!!
Huwa hatuwachagui kwasabu mmekaa kitapeli tapeli Sana inakuwaje mshindwe kujenga ofs ya mil. 20 na wabunge mliwakata mishahara, na SABODO aliwapa, na join the chain mlipga
 
Huwa namshangaa sana mtanzania anaye acha kufikiria Kodi tunazo lipa zinatumikaje,
Anawaza mambo ya ajabu yasiyo kuwa na tija!
 
Huwa hatuwachagui kwasabu mmekaa kitapeli tapeli Sana inakuwaje mshindwe kujenga ofs ya mil. 20 na wabunge mliwakata mishahara, na SABODO aliwapa, na join the chain mlipga
Sema ukweli ni lini mlishinda! 2010 Jk alipigwa na Dr Slaa kwa mbali ajabu mkachakachua
2015 Lowasa akamgaragaza libichwa JPM hadi kutaka kufa
2020 Libichwa box JPM likaiba uchaguzi likachanganyikiwa hadi likadead!
Leta fair play wewe acha kujamba jamba!
 
Sema ukweli ni lini mlishinda! 2010 Jk alipigwa na Dr Slaa kwa mbali ajabu mkachakachua
2015 Lowasa akamgaragaza libichwa JPM hadi kutaka kufa
2020 Libichwa box JPM likaiba uchaguzi likachanganyikiwa hadi likadead!
Leta fair play wewe acha kujamba jamba!
Tuwachague kwa lipi mlilolifanya
 
Bila wizi wa kura uzao wa panya hawatoboi...

View attachment 2639086

1685361291841.png



1685361190865.png


Bora wote wasingekuwepo
 
Back
Top Bottom