Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wakuitoa hyo hela ni serikali lazima itapima mahitaji na matumizi usidhani bunge likishapitisha na mpunga unatoka hapohapo...na hyo hela itakaguliwa piaUnahangaika na upinzani, wakati juzi bunge limepitisha Trilioni 45 za posho kwa nguvu. Punguza unafiki.
Mbona Umekwepa hela za joinUtapeli upi zaidi ya huu?!!
👇
TANESCO imeisamehe Zanzibar deni la umeme la bilioni 60
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia. Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo...www.jamiiforums.com
HAMNA KITU MNACHOMILIKI ZAIDI YA MANENO TU SS WANANCHI KURA ZETU TUTAIPA CCM... KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIYaani wewe Jamaa kwa akili yako umefikilia wee umeona Watanzania ni wajinga kiasi hiki? Kwamba wao hawawezi fikili ila wewee utafanya kwa niaba yao? kama Chama chako kinakomfidence kuwa kinakubalika na hatimae kuchaguliwa ,kwanin Uwizi wa Kura unafanyika?
Kwanini Tume huru ya uchaguzi ni Takwa msilolitaka? Kwanin mawakala wa Chaguzi wa upinzani husweka lumande? Kwanin waMagwanda huvaa mabegi kwenye polling stations?
Mwisho kabsaaa ni kitu gani kinawatisha juu ya Katiba mpya shirikishi katika makundi yote ya jamii? Nani mjinga atakubali maandiko yako We jamaa? Mimi nimekataa kuwa mjinga asilani!
Jamani wakataeni kwa haki na msiibe kura wala msiwape polisi mabegi yenye kura zenu! Wekeni fair play halafu mhamasishe wakataliwe! TUONE. CCM bila polisi ni mavi kabisa!!Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona
Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.
Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Huwa hatuwachagui kwasabu mmekaa kitapeli tapeli Sana inakuwaje mshindwe kujenga ofs ya mil. 20 na wabunge mliwakata mishahara, na SABODO aliwapa, na join the chain mlipgaJamani wakataeni kwa haki na msiibe kura wala msiwape polisi mabegi yenye kura zenu! Wekeni fair play halafu mhamasishe wakataliwe! TUONE. CCM bila polisi ni mavi kabisa!!
Sema ukweli ni lini mlishinda! 2010 Jk alipigwa na Dr Slaa kwa mbali ajabu mkachakachuaHuwa hatuwachagui kwasabu mmekaa kitapeli tapeli Sana inakuwaje mshindwe kujenga ofs ya mil. 20 na wabunge mliwakata mishahara, na SABODO aliwapa, na join the chain mlipga
Tuwachague kwa lipi mlilolifanyaSema ukweli ni lini mlishinda! 2010 Jk alipigwa na Dr Slaa kwa mbali ajabu mkachakachua
2015 Lowasa akamgaragaza libichwa JPM hadi kutaka kufa
2020 Libichwa box JPM likaiba uchaguzi likachanganyikiwa hadi likadead!
Leta fair play wewe acha kujamba jamba!
wewe kimburu hujielewi tu!Tuwachague kwa lipi mlilolifanya
Naunga mkono hoja.Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.