Mkuu SANDUKU la Kura likiwekwa hapo mtaani pako hata sahzi hampitiUshindi wa kura kwa sasa CCM mmeshindwa, mbeleko ya vyombo vya dola tu ndio ngao yenu. Kwa sasa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Utapeli upi zaidi ya huu?!!😄😄Zile bwana tushatapeliwa
Kama ulizaliwa kuanzia mwaka 2000 hadi 2004 utajuaje faida ya upinzani?Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona
Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.
Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Wapenda maendeleo wa Chato,wezi wa kura na wafujaji wa mali za umma.Huwa hamuibiwi kura huwa mnakataliwa na wapenda maendeleo
Mimi linapokuja swala la Kura huwa ni kwa CCM tu sijawahi waamini hao jamaa
Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona
Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga ofisi zao wenyewe Kama wabunge, na kwenye mikutano virambo vilipitishwa.
Ndugu Watanzania tuwakatae wanasiasa wababaishaji, hawana nia njema na maendeleo ya Taifa letu.
Chama pekee chenye ilani ya kimaendeleo na inayotekelezeka ni
CHAMA Cha MAPINDUZI (CCM).
Kura yenye Faida ni kwa CCM.
Huwa hamuibiwi kura huwa mnakataliwa na wapenda maendeleo
Mkuu SANDUKU la Kura likiwekwa hapo mtaani pako hata sahzi hampiti