Tutafute Pesa hata kama kwa Kisomo na Duaa basi pia tuwe Makini. Kuna watu wanapesa hawana Raha

Tutafute Pesa hata kama kwa Kisomo na Duaa basi pia tuwe Makini. Kuna watu wanapesa hawana Raha

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimekumbuka tu maisha ya Tajiri mmoja ambaye alikuwa na mabasi mengi Mkoa flani ila kwa sharti la kuwa na kidonda ndugu kinachonuka. Bahati nzuri nlikuwa nafahamu story ya huyu mtu ambaye alikuja filisika.

Sasa nikakumbuka kisa cha kijana mmoja ambaye alikubali awe anaingiliwa na Jini ili apate Utajiri. Na hii dawa Ipo sana Maeneo kama Zanzibar, Lamu, Mombasa na Tanga.

Ukikataa kuwa unakazwa jicho na Jini basi unapewa option ya kuwa unaingiliwa na vijana tu mtaani mbalimbali....yaani lazima shahawa ziingizwe njia yako ya haja. Unajua utaniri wa shetan hauna furaha ya kudumu. Una masharti sana. Sema yanategemeana na mtu na mtu.

Mimi nimezunguka sana na kufahamiana na watu wengi wakiwemo wanasiasa mashuhuri ambao wamejikita kwenye ushirikina sana. Miaka toka ya nyuma kuna wasanii kibao walikuwa wanakazwa jicho ili wafanikiwe na wapate utajiri. Hii ilikuwa kwa wanaume.

Kwa sasa usishangae mtu ameoa na ana mtoto au watoto na anafanywa hivyo ili awe maarufu au apate utajiri. Hii imewachukua vijana wengi sana hata mtu mmoja ambaye amekuwa mtu wa mpira (si kucheza mpira) yeye analiwa sana ila naye anajitahidi kuoa. Shida inakuja baadaye mashine inakosa nguvu. Hapo lazima achapiwe mke au mpenzi.


Anyway....mimi nimeona mengi sana ktk eneo hilo ndo maana nawatizama nasema "hiiiiiiiiiiiiii" tafuteni pesa kwa njia halali. Msipende sana umaarufu unakuja na masharti mengi. Msione vinaelea vimeundwa.
 
Nimekumbuka tu maisha ya Tajiri mmoja ambaye alikuwa na mabasi mengi Mkoa flani ila kwa sharti la kuwa na kidonda ndugu kinachonuka. Bahati nzuri nlikuwa nafahamu story ya huyu mtu ambaye alikuja filisika.

Sasa nikakumbuka kisa cha kijana mmoja ambaye alikubali awe anaingiliwa na Jini ili apate Utajiri. Na hii dawa Ipo sana Maeneo kama Zanzibar, Lamu, Mombasa na Tanga.

Ukikataa kuwa unakazwa jicho na Jini basi unapewa option ya kuwa unaingiliwa na vijana tu mtaani mbalimbali....yaani lazima shahawa ziingizwe njia yako ya haja. Unajua utaniri wa shetan hauna furaha ya kudumu. Una masharti sana. Sema yanategemeana na mtu na mtu.

Mimi nimezunguka sana na kufahamiana na watu wengi wakiwemo wanasiasa mashuhuri ambao wamejikita kwenye ushirikina sana. Miaka toka ya nyuma kuna wasanii kibao walikuwa wanakazwa jicho ili wafanikiwe na wapate utajiri. Hii ilikuwa kwa wanaume.

Kwa sasa usishangae mtu ameoa na ana mtoto au watoto na anafanywa hivyo ili awe maarufu au apate utajiri. Hii imewachukua vijana wengi sana hata mtu mmoja ambaye amekuwa mtu wa mpira (si kucheza mpira) yeye analiwa sana ila naye anajitahidi kuoa. Shida inakuja baadaye mashine inakosa nguvu. Hapo lazima achapiwe mke au mpenzi.


Anyway....mimi nimeona mengi sana ktk eneo hilo ndo maana nawatizama nasema "hiiiiiiiiiiiiii" tafuteni pesa kwa njia halali. Msipende sana umaarufu unakuja na masharti mengi. Msione vinaelea vimeundwa.
Huyo "maarufu wa mpira anayeliwa jicho" ambaye siyo mchezaji ana haiba gani, msemaji semaji sanaaaa, emb tuweke wazi bhana.

Si umeamua kumwaga mtama, ikiwezekana mtaje kabisa kwa jina, anonymity itakuhifadhi.
 
Huyo "maarufu wa mpira anayeliwa jicho" ambaye siyo mchezaji ana haiba gani, msemaji semaji sanaaaa, emb tuweke wazi bhana.

Si umeamua kumwaga mtama, ikiwezekana mtaje kabisa kwa jina, anonymity itakuhifadhi.
Kuna watu haturuhusiwi kuwataja ikiwa hawamo humu kujitetea.... Ndo maana tunatumia code tu....
 
Nimekumbuka tu maisha ya Tajiri mmoja ambaye alikuwa na mabasi mengi Mkoa flani ila kwa sharti la kuwa na kidonda ndugu kinachonuka. Bahati nzuri nlikuwa nafahamu story ya huyu mtu ambaye alikuja filisika.

Sasa nikakumbuka kisa cha kijana mmoja ambaye alikubali awe anaingiliwa na Jini ili apate Utajiri. Na hii dawa Ipo sana Maeneo kama Zanzibar, Lamu, Mombasa na Tanga.

Ukikataa kuwa unakazwa jicho na Jini basi unapewa option ya kuwa unaingiliwa na vijana tu mtaani mbalimbali....yaani lazima shahawa ziingizwe njia yako ya haja. Unajua utaniri wa shetan hauna furaha ya kudumu. Una masharti sana. Sema yanategemeana na mtu na mtu.

Mimi nimezunguka sana na kufahamiana na watu wengi wakiwemo wanasiasa mashuhuri ambao wamejikita kwenye ushirikina sana. Miaka toka ya nyuma kuna wasanii kibao walikuwa wanakazwa jicho ili wafanikiwe na wapate utajiri. Hii ilikuwa kwa wanaume.

Kwa sasa usishangae mtu ameoa na ana mtoto au watoto na anafanywa hivyo ili awe maarufu au apate utajiri. Hii imewachukua vijana wengi sana hata mtu mmoja ambaye amekuwa mtu wa mpira (si kucheza mpira) yeye analiwa sana ila naye anajitahidi kuoa. Shida inakuja baadaye mashine inakosa nguvu. Hapo lazima achapiwe mke au mpenzi.


Anyway....mimi nimeona mengi sana ktk eneo hilo ndo maana nawatizama nasema "hiiiiiiiiiiiiii" tafuteni pesa kwa njia halali. Msipende sana umaarufu unakuja na masharti mengi. Msione vinaelea vimeundwa.
Mbona mnapandikiza beliefs mbaya hivi kwenye minds za watu wa Taifa lako lakini. Yaani hapa unajua the way mind take itakavyokuwa Ina respond Ile subconsciously lakini ama mnaandika vitu.

Hii idea itaanza kuota kuwa matajiri ama wasanii wenye hela Basi Ni za shetani.
Is this for Africans or is for all races is applicable mkuu?
Yaani brain Ina self mechanism ya ku avoid pains beyond your concious level of understanding ujue.
Kuna watu wanashindwa kutafuta hela na wangezipata wao wanaamini kuwa lazima umtumikie shetani sio kweli kabisa. So atatafuta tu namna ya yeye kuuweka mind take comfortable isijute kuwa why haijapata Mali na our nature of brain is always in survival modal default.
Mfano kuwa na hela nyingi sio lazima uwe wa shetani ama za majini jamani ama uwe na koneksheni wewe jiaminishe ivyo itakuwa Ivyo utakaa kusubiria network ili utoke.
You're very strong according to your beliefs jamani. Mana ukishaamini unaanza ku act according to what you believe.
Na ukibanwa kuwa waonyeshe hao wasanii ama hao matajiri hakuna hata mmoja utakayemuonyesha sema unakuja kuzidi kuwapa watu Imani ambazo zitazaa negativity kwenye mind zao.
 
Ukiamini kuwa Ni masikini ama utapata pesa kwa shetani itakuwa Ivyo ivyo.
Your mind is like garden whatever you sow on it grow accordingly. Everything hapa duniani kipo kwa kikanuni fulani maalumu hakuna kilicho exit from nowhere. Hata Muumbaji ameumba universe yetu kwa specific sequence jamani. Everything is numbered and is counted.
Kuna rules and principles za kila kitu jamani.
Yaani Mungu aumbe gold baadaye kuipata gold iwe mpaka kafara kweli.
 
Mbona mnapandikiza beliefs mbaya hivi kwenye minds za watu wa Taifa lako lakini. Yaani hapa unajua the way mind take itakavyokuwa Ina respond Ile subconsciously lakini ama mnaandika vitu.

Hii idea itaanza kuota kuwa matajiri ama wasanii wenye hela Basi Ni za shetani.
Is this for Africans or is for all races is applicable mkuu?
Yaani brain Ina self mechanism ya ku avoid pains beyond your concious level of understanding ujue.
Kuna watu wanashindwa kutafuta hela na wangezipata wao wanaamini kuwa lazima umtumikie shetani sio kweli kabisa. So atatafuta tu namna ya yeye kuuweka mind take comfortable isijute kuwa why haijapata Mali na our nature of brain is always in survival modal default.
Mfano kuwa na hela nyingi sio lazima uwe wa shetani ama za majini jamani ama uwe na koneksheni wewe jiaminishe ivyo itakuwa Ivyo utakaa kusubiria network ili utoke.
You're very strong according to your beliefs jamani. Mana ukishaamini unaanza ku act according to what you believe.
Na ukibanwa kuwa waonyeshe hao wasanii ama hao matajiri hakuna hata mmoja utakayemuonyesha sema unakuja kuzidi kuwapa watu Imani ambazo zitazaa negativity kwenye mind zao.
Mambo ya giza ujulikana gizani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimerusha jiwe gizani..... Mtajitokeza yu wenyewe.....mkiwa na hasira zenu...
Hakuna hasira mkuu,
Najaribu kuwaza haya mambo sijawahi kuyasikia kwenye maisha yangu na uzee huu...

Imekuaje wewe unayajua mpaka na mikoa husika?
Hakika huna rinda.
 
Nimekumbuka tu maisha ya Tajiri mmoja ambaye alikuwa na mabasi mengi Mkoa flani ila kwa sharti la kuwa na kidonda ndugu kinachonuka. Bahati nzuri nlikuwa nafahamu story ya huyu mtu ambaye alikuja filisika.

Sasa nikakumbuka kisa cha kijana mmoja ambaye alikubali awe anaingiliwa na Jini ili apate Utajiri. Na hii dawa Ipo sana Maeneo kama Zanzibar, Lamu, Mombasa na Tanga.

Ukikataa kuwa unakazwa jicho na Jini basi unapewa option ya kuwa unaingiliwa na vijana tu mtaani mbalimbali....yaani lazima shahawa ziingizwe njia yako ya haja. Unajua utaniri wa shetan hauna furaha ya kudumu. Una masharti sana. Sema yanategemeana na mtu na mtu.

Mimi nimezunguka sana na kufahamiana na watu wengi wakiwemo wanasiasa mashuhuri ambao wamejikita kwenye ushirikina sana. Miaka toka ya nyuma kuna wasanii kibao walikuwa wanakazwa jicho ili wafanikiwe na wapate utajiri. Hii ilikuwa kwa wanaume.

Kwa sasa usishangae mtu ameoa na ana mtoto au watoto na anafanywa hivyo ili awe maarufu au apate utajiri. Hii imewachukua vijana wengi sana hata mtu mmoja ambaye amekuwa mtu wa mpira (si kucheza mpira) yeye analiwa sana ila naye anajitahidi kuoa. Shida inakuja baadaye mashine inakosa nguvu. Hapo lazima achapiwe mke au mpenzi.


Anyway....mimi nimeona mengi sana ktk eneo hilo ndo maana nawatizama nasema "hiiiiiiiiiiiiii" tafuteni pesa kwa njia halali. Msipende sana umaarufu unakuja na masharti mengi. Msione vinaelea vimeundwa.
Hii hapa......

"...... Hii imewachukua vijana wengi sana hata mtu mmoja ambaye amekuwa mtu wa mpira (si kucheza mpira) yeye analiwa sana ila naye anajitahidi kuoa. Shida inakuja baadaye mashine inakosa nguvu. Hapo lazima achapiwe mke au mpenzi."

Usitake kutafuta kick
 
Hii hapa......

"...... Hii imewachukua vijana wengi sana hata mtu mmoja ambaye amekuwa mtu wa mpira (si kucheza mpira) yeye analiwa sana ila naye anajitahidi kuoa. Shida inakuja baadaye mashine inakosa nguvu. Hapo lazima achapiwe mke au mpenzi."

Usitake kutafuta kick
Mtakuja tu jianika wenyewe
 
Ushahidi mzuri ni
Nilimuingilia mtu fulani.
Nilipewa dawa nipate utajir
Vidonda vingine si ni kansa tu anayopata mtu yoyote.
Wakati wewe unaandika maoni humu kuna watu wapo kwenye mashimo ya dhahabu kutafuta utajiri.
Kuna watu wanapanda maheka ya parachichi.
Kuna watu wanakesha kuandika vitabu ili waje waviuze.
Kuna watu wapo shambani kupalilia heka zao za mahindi waje wayauze.
Hao unaowaona ni washirikina wanakesha wakitafuta.
 
Back
Top Bottom