Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Njalu daud silanga wa itilima
 
Kwa miaka ya hivi karibuni hata wakiitisha mikutano ukauliza swali waweza kubebwa msobemsobe na uvccm mpaka polisi, ukiwapigia simu hawapokei, sasa utawatuma kuanzia wapi, kwanza wenyewe wanasema hatukuwachagua kwahiyo tusiwasumbue.
 
Mbunge wa Rungwe,Mbeya

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…