Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Nashukuru mkuu. Hii comment nimeiscreenshort ili nisiache kitu.Pole jaribu kusoma data analysis na short courses zingine halafu deal na private organisations tu
Hasa contract works
Utanishukuru baadae nmekuonea huruma Pole Sana
January 2017 nilipata nafasi shule flani morogoro, walinipa na nyumba wale masister wa kikatoliki, baada ya miezi miwili wakaniongeza mshahara. Mwezi mei akaja mratibu elimu kata akasema "wewe sio mwalimu". Stelingi nikafia kwenye maua.Taft shule ufundishe ama fungua centre yko ufundishe... hesabu ni ugonjwa wa taifa utapga pesa mingi
Mungu atakusaida believe meNashukuru mkuu. Hii comment nimeiscreenshort ili nisiache kitu.
Pia hizi website hapa chini znaweza kusaidia kama Unataka kwenda kusoma mastersNashukuru mkuu. Hii comment nimeiscreenshort ili nisiache kitu.
Hizi kozi zilipaswa kufutwa kabisa.-Procurement & supply
-Business administration
-Entrepreneurship
Kwenye Kujiajiri Mchawi Capital kaka.....Watanzania wenzangu, Wakati umefika sasa wa kuachana na fikra mgando za kufikiria kuajiriwa tu. Tupanue akili zetu na kuwekeza nguvu nyingi kwenye kujiajiri....... ili tupunguze mateso ya kutembea ofisi/kampuni/shirika moja hadi nyingine kuomba ajira.
Dah sasa mzee wee huna ndoto za kuja na theory zako za hesabu ili utusaidie kama nchi tuwe donor country? Maana kwa kweli bila nyie watu wa hesabu nchinhaiwezi kamwe kuwa donor country.Heh heh..
Nipo naosha magari mkuu.. Na wengine wengi tuu niliwaona dodoma usaili NAOT. Wengine walikua chuo cha mipango usaili wa TA.
Pole sana ndugu. Husabati ni changamoto kwa wanafunzi wengi. Tafuta eneo anzisha tuition centre ua Hisabati. Nina uhakika utapata wateja (wanafunzi) wengi sana. Na utatoboa!Bachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Nchi hii ni ya kipumbavu sana.January 2017 nilipata nafasi shule flani morogoro, walinipa na nyumba wale masister wa kikatoliki, baada ya miezi miwili wakaniongeza mshahara. Mwezi mei akaja mratibu elimu kata akasema "wewe sio mwalimu". Stelingi nikafia kwenye maua.
Boss unafanya vizuri ila kukimbia nchi ni uoga wa maisha. Mbona watu wanafanikiwa hapahapa.Nchi hii ni ya kipumbavu sana.
Mzee kwa hiyo fani wewe hukupaswa kufanya kazi nchi hii ya mchongo.
Ngoja nikupe site moja ya Canada uombe kazi huko uondoke bongo
Lugha si inapanda mlima?
Nimesikitika sana kwa mtu wa ujuzi aina yako. Sema siku hizi nime mess up na connections nilizokua nazo otherwise mzee ningekusaidia kikamilifu.
Halafu kwa fani yako unaweza kuwa actuary pia, maana mnafana na watu wa acturial science.
Hahahahhahah kasomea mipango ya kupumzikaKuna jamaa yangu amesoma degree ya mipango na hana ajira wala hela huwa namshangaa sana!
Mipango gani hiyo sasa kasomea!
Mimi unipe 50k nikufundishe kazi?hebu thamini kazi za watu basi!Hiyo hela unapoteza kwenda kusoma ni bora utoe elfu50 mtafte na umlipe mkulima/mfugaji/fundi yeyote akupe ujuzi wa kazi za mtaa then tumia ujuzi huo kufanya vitenda vidogo vidogo mitaan, hakika utatoboa.
Coz ambayo angalau inaweza kukusaidia hata usipopata ajira, ni bora ukasome mambo ya computer utaambulia hata ujuzi kidogo wa kujua mbinu za kujiingizia pesa kupitia ufundi wa software za simu&computer pia madili ya online platforms&business, hakika huwez kukosa ka laki wiki nzima[emoji16][emoji16].
Note:- kama una ndoto za kuajiriwa basi usipoteze muda wako kusoma maanahakuna kazi na hapo mbeleni utakuja kufa kwa sonona na magonjwa ya moyo+presha, usipoteze muda wako kwenye mambo ya kijinga.
Soma upate ujuzi, usisome ili uajiriwe, hakuna ajira kwa watoto masikin[emoji16]
UKWELI MCHUNGU[emoji16][emoji16]
Mwana kwa nini usirudi chuo upige masters hadi phd?January 2017 nilipata nafasi shule flani morogoro, walinipa na nyumba wale masister wa kikatoliki, baada ya miezi miwili wakaniongeza mshahara. Mwezi mei akaja mratibu elimu kata akasema "wewe sio mwalimu". Stelingi nikafia kwenye maua.
Fact, biashara, accounts na uchumi. Graduates ni wengi sana competition ni kubwa sana kupata ajira ni ngumu sana. Ukisoma hizo course zaidi sana labda kama unataka kwa ajili ya kujiajiri.KOZI ZOTE ZA BIASHARA KUNA COMPETITION KUBWA SANA WITHOUT CONNECTION HAUTOBOI MASTERS YAKE UNA IWEKA KABATINI TU INAPGWA NA VUMBI HATA UWE NA GPA KUBWA YAAN
AmenMungu atakusaida believe me
Usikate tamaa pia
Nashukuru sana mkuu.Pia hizi website hapa chini znaweza kusaidia kama Unataka kwenda kusoma masters
[emoji842]www.phds. org
[emoji842]www. jobs. ac. uk
[emoji842]www.findaphd. com
[emoji842]www.vacancyedu. com
[emoji842]www.findamasters. com
[emoji842]euraxess. ec.europa. eu
[emoji842]www.discoverphds. com
[emoji842]www.academicpositions. us
[emoji842]www.universitypositions. eu
Usikate tamaa ndugu jitofautishe tu na kundi lingine
Mungu akutie nguvu