Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Bachelor of science in molecular biology and biotechnology

Bachelor of science in microbiology (UDSM)

Bachelor of science in acturial science

Bsc in applied zoology

Bsc in botanical science

Bsc in mathematics and statistics

Bsc in petroleum chemistry

Bsc in wildlife science & conservation



Kama unapesa bora umpe mwanao akafanye biashara kuliko kupoteza muda kwenye hizo kozi za kiwaki
 
Mkuu hakuna stress mbaya kama kusoma hali ya kuwa huna pesa!! Maisha ya masters ili uyafurahie atleast uwe umeajiriwa,yaani unasoma huku pesa inaingia. Inatia sonona pale mbapo umesota mtaani na bachelor yako hujui mustakabali wa kazi, majukumu yanakuandama halafu uendelee tena kukaa darasani, ngumu sana!!!

Upo zako mabibo hostel unawaona wenzako wanaokuja kuchukua masters na Phd wote wanapaki ndinga zao nje ya block , wewe unakanyaga kwa miguu mpk soli inaisha. Kula yako inategemea boom la HESLB au viskolaship unavyokuwa funded nusu.
Very touching
 
ARE YOU SERIOUS?????? MASTER'S DEGREE NA PhD TANZANIA BILA GPA 3.8 ATAFANYA KAZI WAPI? Ungemuuliza kwanza kama ana sifa hizo. Elimu ya Tanzania kwa sasa niyawachache sana
Yaani huu ndio ufala...eti umepambana mpk umepata Phd yako...halafu kwenye ajira wanakwambia uwe na undergraduate GPA ya 3.8 kuendelea, experience miaka isiyopungua 7 n.k
 
ARE YOU SERIOUS?????? MASTER'S DEGREE NA PhD TANZANIA BILA GPA 3.8 ATAFANYA KAZI WAPI? Ungemuuliza kwanza kama ana sifa hizo. Elimu ya Tanzania kwa sasa niyawachache sana
Yaani huu ndio ufala...eti umepambana mpk umepata Phd yako...halafu kwenye ajira wanakwambia uwe na undergraduate GPA ya 3.8 kuendelea, experience miaka isiyopungua 7 n
Na ndio hapo tunafeli na tutaendelea kufeli , hatu value proffessions ,wenzetu wana value proffessions ,Sisi mtu akiongelea udhaifu wa hii nchi kutovalue proffessions watu wanakebehi na kuandika ujinga ,na imekuwa hivyo Africa nzima ,kama hatuwekezi kwenye proffessions kuhakikisha hawa wanaograduate wanakuwa channeled katika mkondo wa kuadd value katika uchumi kupitia proffessions zao , hatutoboi nakwambia , huwezi kuwa na graduates mfano mechanical engineer na agricultural Engineers thousands of them in the streets wanafanya umachinga halafu ukajidanganya siku moja utapata maendeleo kwenye hiyo sekta ya kilimo .Si bora mfute hizo courses huko chuo ,muache kupoteza kodi za wananchi na muda wa wanafunzi ili mjenge taifa la illiterates na wachuuzi ?
Mfano nilishawahi andika humu kuhusiana na revolution Tu inayoweza patikana kwa kuanzisha serious incubator ya kufanya research na building ya modern mechanical equipments mfano pumps , matrekta nk ambazo tunaweza tukazitengeneza na zikasaidia kuondokana na kilimo cha ovyo cha jembe la mkono ,kuzalisha ajira na kuleta tija na ufanisi kwenye kilimo kwa kuongeza uzalishaji .
Tuna chuma kule mchuchuma na Liganga why ,hatufanyi mambo ya maana kama haya ,mjapan kutengeneza vitu kama matrekta ,ndege ,magari na heavy diesel equipments nyingine za ujenzi ,kilimo na madini alijifunza kule USA na then akaenda kuimplement kwake kazalisha makampuni ambayo yamedumu na yameshika soko la dunia mpaka leo mfano Nissan ,Toyota ,Suzuki , Komatsu NK Sisi tunabung'aa hapa .
Akili kubwa haitakiwi katika nchi za kiafrika.Ukiwakomboa masikini utazalisha machafuko kwa wanaotawala. Hivi unadhani wakulima wakiwa na kipato kizuri ,hao watawala watakuwa salama??

Mbinu inayotumika ni kuendelea kuwafanya raia wengi wawe masikini ili nchi itawalike kwa wepesi. Maana umaskini humfanya mtu kuwa mtumwa
 
Bachelor of science in molecular biology and biotechnology

Bachelor of science in microbiology (UDSM)

Bachelor of science in acturial science

Bsc in applied zoology

Bsc in botanical science

Bsc in mathematics and statistics

Bsc in petroleum chemistry

Bsc in wildlife science & conservation



Kama unapesa bora umpe mwanao akafanye biashara kuliko kupoteza muda kwenye hizo kozi za kiwaki
Kuna kozi zinawekwa sijui kukomoana sasa kama hiyo zoology hapa bongo utaenda wapi kuiapply.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani huu ndio ufala...eti umepambana mpk umepata Phd yako...halafu kwenye ajira wanakwambia uwe na undergraduate GPA ya 3.8 kuendelea, experience miaka isiyopungua 7 n

Akili kubwa haitakiwi katika nchi za kiafrika.Ukiwakomboa masikini utazalisha machafuko kwa wanaotawala. Hivi unadhani wakulima wakiwa na kipato kizuri ,hao watawala watakuwa salama??

Mbinu inayotumika ni kuendelea kuwafanya raia wengi wawe masikini ili nchi itawalike kwa wepesi. Maana umaskini humfanya mtu kuwa mtumwa
Hii ndio point ya msingi..

#MaendeleoHayanaChama
 
Bachelor of Science in Mathematics

Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.

Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Wee umeshindwa kukomaa na Watu wa statistics...
 
Daaah, nimecheka sana aisee..huu Uzi udumu milele,
Degree ya mipango na Hana ajira Wala pesa, so amesoma mipango Gani?🤣🤣🤣
Degree in theology, wahuni wanampongeza ni course nzuri mbususu nje nje 🤣🤣
Usicheke inasikitisha sana, una degree ya Mipango huna hata mia!
 
Fursa kibao hapa. Unakuwa nabii, unajibrand. Sadaka hautakosa chini ya M10 kwa kila jpili. Unauza wali wa upako baaaasi.
795e384a27f392a874b51dfd69c1d4a4.png
 
Back
Top Bottom