Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Inahusiana na nini hiTheology
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusiana na nini hiTheology
Nipe asili ya jina lako kwanza 🤣🤣🤣🤣🥲🙌🙌🙌🙌🙌Kuna jamaa yangu amesoma degree ya mipango na hana ajira wala hela huwa namshangaa sana!
Mipango gani hiyo sasa kasomea!
Kuna watu hawapo serious kwa kweli dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo ya nguvu za kiume piaunasoma theology ili ukaajiriwe?. utasota sana mtaani na cheti chako.
jizime data, ingia mtaani, anza kuhubiri huku ukitumia maarifa uliyopata kwenye masomo yako ya theology. wafanyie watu miujiza ya uongo na ukweli.
mahubiri yako yaegemee kuhusu mahusiano ya ndoa, uchumba na upatikanaji wa kipato cha mtu mmoja mmoja. hili ndio eneo ambalo utawapata wajinga wengi wa kukupa sadaka.
siku za kwanza baadhi ya watu watakuona chizi, watakudharau. ila miaka miwili au mitatu baadae utakuwa unamiliki kanisa lako. utajiri utakuwa unacheza kwenye mlango wako.
ewaaaa.Mambo ya nguvu za kiume pia
Nenda vyuoni mkuu hasa private probably ukaonwaaaaBachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
😂😂😂😂😂Kuna siku nilikuwa dodoma kwenye daladala Kaka mnamnyatia nyatia dada,anamuuliza uliza maswali,akaulizwa anasoma chuo gani nasikia binti anajibu anasoma mipango,Kaka kauliza unasoma kozi gani?dada kamjibu anasoma GPA.🙄🙄.....ndio wewe Sasa😂Shahada ya kwanza
Wapo... si mtu ana vision, dreams na targets. Marekani au Israel na nchi baadhi za Ulaya kubwakubwa ni bonge la fani hiyo.Yaan serious mtu unaenda soma robotics
Tafuta chuo au kazi za ukectureBachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Ahahaha umesema ukweli mtupu procument na hzo ba Ni upuuzi sna hata uwe na ile ya bodi yao Bado msoto Ni mkali mno dada angu anayo hyo procument ila mkp sas hajapata KazZama hizi nani akuajiri na hizo kozi?
Kwa mfano, hiyo degree ya procurement hakunaga muajiri bonafsi atakuchukua, subiri serikalini au taasisi za umma, nako ni kwa uchache mnoo tena kimchongo mnoo, na saturation point ilishafikiiwa na vyuo vinazidi kumwaga mamia ya wahitimu mtaani.
Business administration ndio haiwekani tena kuajirika.
Entrepreneurship nani akuajiri?
Anipange anada mtaji tu lkn kwa huyo anaweza kuolewa ila kwa mwanaume utishi kuwa fundi simuAcha bwana kuna dogo langu la kike limeng'ang'ania hiyo kozi yupo UDOM
Wachungaji hao, kazi zipo ni wewe kujiongeza, mbona masanja ni mchungaji hata darasani hajaenda?Theology
Fursa kibao hapa. Unakuwa nabii, unajibrand. Sadaka hautakosa chini ya M10 kwa kila jpili. Unauza wali wa upako baaaasi.Theology
Aisee Bora hat unasema ukweli mnk Kuna watu wabishi sna wanakumbia hyo kozi Ni dili San kwa Sasa watu wa hesabu wnapata kz mapema mno sas njoo mtaani utaonekana mjinga sna na hata ualimu uwezi kuwa dah mbaya SanNakushauri umshauri, ahame hiyo kozi. Japo saizi nasikia wana electives za ualimu ili wafae kuajiriwa kama walimu. Hiyo kozi ni majanga.
Ama kama nyumbani sio haba, na kichwani zinachaji haswa, akamalize na GPA kali halafu aunge master's.
Mkanye asidanganyike na stori za Dr. Sunzu. Huyu tuliwahi bishana juu ya tija ya hiyo kozi kwenye kipindi chake nikiwa mwaka wa tatu. Ni mtu smart ila kama H.O.D anashindwa kukudisappoint kwa kusema ukweli.
Akitaka ushauri wa kweli amtafute mtu anaitwa Dr. Mwaihuti, Stephen Mwaihuti.
Unanikumbusha UDSM enzi hizo chini ya Prof. MasengeBachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Mkuu hakuna stress mbaya kama kusoma hali ya kuwa huna pesa!! Maisha ya masters ili uyafurahie atleast uwe umeajiriwa,yaani unasoma huku pesa inaingia. Inatia sonona pale mbapo umesota mtaani na bachelor yako hujui mustakabali wa kazi, majukumu yanakuandama halafu uendelee tena kukaa darasani, ngumu sana!!!Dah aisee pole Bora ungepga ata bachelor ya statistics sema unaweza namba sana piga MASTERS YA STATITICS AU ENGINEERING