ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
Mm mwenyewe nmemshangaa huyu mwamba wakati watu tupo tunalamba Asali ya nchi na hizi fani.uko wapi boss mbona hzo course ndo znaongoza kwenye ajira
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Very touchingMkuu hakuna stress mbaya kama kusoma hali ya kuwa huna pesa!! Maisha ya masters ili uyafurahie atleast uwe umeajiriwa,yaani unasoma huku pesa inaingia. Inatia sonona pale mbapo umesota mtaani na bachelor yako hujui mustakabali wa kazi, majukumu yanakuandama halafu uendelee tena kukaa darasani, ngumu sana!!!
Upo zako mabibo hostel unawaona wenzako wanaokuja kuchukua masters na Phd wote wanapaki ndinga zao nje ya block , wewe unakanyaga kwa miguu mpk soli inaisha. Kula yako inategemea boom la HESLB au viskolaship unavyokuwa funded nusu.
Yaani huu ndio ufala...eti umepambana mpk umepata Phd yako...halafu kwenye ajira wanakwambia uwe na undergraduate GPA ya 3.8 kuendelea, experience miaka isiyopungua 7 n.kARE YOU SERIOUS?????? MASTER'S DEGREE NA PhD TANZANIA BILA GPA 3.8 ATAFANYA KAZI WAPI? Ungemuuliza kwanza kama ana sifa hizo. Elimu ya Tanzania kwa sasa niyawachache sana
Yaani huu ndio ufala...eti umepambana mpk umepata Phd yako...halafu kwenye ajira wanakwambia uwe na undergraduate GPA ya 3.8 kuendelea, experience miaka isiyopungua 7 nARE YOU SERIOUS?????? MASTER'S DEGREE NA PhD TANZANIA BILA GPA 3.8 ATAFANYA KAZI WAPI? Ungemuuliza kwanza kama ana sifa hizo. Elimu ya Tanzania kwa sasa niyawachache sana
Akili kubwa haitakiwi katika nchi za kiafrika.Ukiwakomboa masikini utazalisha machafuko kwa wanaotawala. Hivi unadhani wakulima wakiwa na kipato kizuri ,hao watawala watakuwa salama??Na ndio hapo tunafeli na tutaendelea kufeli , hatu value proffessions ,wenzetu wana value proffessions ,Sisi mtu akiongelea udhaifu wa hii nchi kutovalue proffessions watu wanakebehi na kuandika ujinga ,na imekuwa hivyo Africa nzima ,kama hatuwekezi kwenye proffessions kuhakikisha hawa wanaograduate wanakuwa channeled katika mkondo wa kuadd value katika uchumi kupitia proffessions zao , hatutoboi nakwambia , huwezi kuwa na graduates mfano mechanical engineer na agricultural Engineers thousands of them in the streets wanafanya umachinga halafu ukajidanganya siku moja utapata maendeleo kwenye hiyo sekta ya kilimo .Si bora mfute hizo courses huko chuo ,muache kupoteza kodi za wananchi na muda wa wanafunzi ili mjenge taifa la illiterates na wachuuzi ?
Mfano nilishawahi andika humu kuhusiana na revolution Tu inayoweza patikana kwa kuanzisha serious incubator ya kufanya research na building ya modern mechanical equipments mfano pumps , matrekta nk ambazo tunaweza tukazitengeneza na zikasaidia kuondokana na kilimo cha ovyo cha jembe la mkono ,kuzalisha ajira na kuleta tija na ufanisi kwenye kilimo kwa kuongeza uzalishaji .
Tuna chuma kule mchuchuma na Liganga why ,hatufanyi mambo ya maana kama haya ,mjapan kutengeneza vitu kama matrekta ,ndege ,magari na heavy diesel equipments nyingine za ujenzi ,kilimo na madini alijifunza kule USA na then akaenda kuimplement kwake kazalisha makampuni ambayo yamedumu na yameshika soko la dunia mpaka leo mfano Nissan ,Toyota ,Suzuki , Komatsu NK Sisi tunabung'aa hapa .
Hii unakosaje kazi kwamfano..mana bongo kumejaa watu waliovurugwa akili...anzisha clinic.Psychology and counseling
Fungua NGO ya kutetea haki za mashoga na wasagaji , andika proposal uombe grants kutoka kwa mashirika ya wazungu...maisha yanasonga. Kinyume na hapo utakufa njaa ukitegemea ajira ustawi wa jamii
Kuna kozi zinawekwa sijui kukomoana sasa kama hiyo zoology hapa bongo utaenda wapi kuiapply.?Bachelor of science in molecular biology and biotechnology
Bachelor of science in microbiology (UDSM)
Bachelor of science in acturial science
Bsc in applied zoology
Bsc in botanical science
Bsc in mathematics and statistics
Bsc in petroleum chemistry
Bsc in wildlife science & conservation
Kama unapesa bora umpe mwanao akafanye biashara kuliko kupoteza muda kwenye hizo kozi za kiwaki
Hii ndio point ya msingi..Yaani huu ndio ufala...eti umepambana mpk umepata Phd yako...halafu kwenye ajira wanakwambia uwe na undergraduate GPA ya 3.8 kuendelea, experience miaka isiyopungua 7 n
Akili kubwa haitakiwi katika nchi za kiafrika.Ukiwakomboa masikini utazalisha machafuko kwa wanaotawala. Hivi unadhani wakulima wakiwa na kipato kizuri ,hao watawala watakuwa salama??
Mbinu inayotumika ni kuendelea kuwafanya raia wengi wawe masikini ili nchi itawalike kwa wepesi. Maana umaskini humfanya mtu kuwa mtumwa
Hahahah hiii ni uchawi mtupuBachelor of statistics pale kwenye tembo hahahahahahah
Bachelor of doctor nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]tatizo la tanzania course zilizopo azikwendi na wakati. kiufupi tuna course hizo hizo miaka nenda rudi.
niliona UDOM labda kama walishaitoa
Bachelor doctor and information technology.
unasomea udaktari na teknolojia yake.
Huna baya ndugu yangu unajichekea tuππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kule wanaendaga kula boom na kuoana tu...wengi wanajua hakuna future..boys hutafuta bodaboda..wakike kuuza nguo WhatsApp.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ndo wengi sasa, wamejazana huko BAED.
Wee umeshindwa kukomaa na Watu wa statistics...Bachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Usicheke inasikitisha sana, una degree ya Mipango huna hata mia!Daaah, nimecheka sana aisee..huu Uzi udumu milele,
Degree ya mipango na Hana ajira Wala pesa, so amesoma mipango Gani?π€£π€£π€£
Degree in theology, wahuni wanampongeza ni course nzuri mbususu nje nje π€£π€£
Jina tena mzee? Mimi naitwa Chivundu.Nipe asili ya jina lako kwanza π€£π€£π€£π€£π₯²πππππ
Fursa kibao hapa. Unakuwa nabii, unajibrand. Sadaka hautakosa chini ya M10 kwa kila jpili. Unauza wali wa upako baaaasi.
π€£π€£π€£π€£ Daah.
Asilimilia kubwa wataamini.That's what counts.
πππππππππAsilimilia kubwa wataamini.That's what counts.