Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Meneja wa makampuni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ulisoma UDOM?Bachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Anaitwa naniAcha bwana kuna dogo langu la kike limeng'ang'ania hiyo kozi yupo UDOM
Utawala wa ummaBachelor ya public administration inahusika na nini hii jmn...
Maana dogo kaing'ang'ania kweli hapo UDSM...
Tutajie kozi boss, acha utani tupo seriously.Meneja wa makampuni...
Bachelor of science in mathematics and statistics miyeyusho tupuBachelor of science in molecular biology and biotechnology
Bachelor of science in microbiology (UDSM)
Bachelor of science in acturial science
Bsc in applied zoology
Bsc in botanical science
Bsc in mathematics and statistics
Bsc in petroleum chemistry
Bsc in wildlife science & conservation
Kama unapesa bora umpe mwanao akafanye biashara kuliko kupoteza muda kwenye hizo kozi za kiwaki
Khaaaaaa kwaiyo bin vuuuuuu tu anaanza kutawalaaaa watuUtawala wa umma
Akimaliza anafungua kampuni anaanza kutawala watu 😆
Connection tatizo,uko wapi boss mbona hzo course ndo znaongoza kwenye ajira
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yap we kwann unaokota makopo acha mpiga debe acha makelele 😀Khaaaaaa kwaiyo bin vuuuuuu tu anaanza kutawalaaaa watu
Bora angesoma diploma ya PharmacyYap we kwann unaokota makopo acha mpiga debe acha makelele 😀
Nilisoma hii kozi miaka ya nyuma ,ki ukweli ni Changamoto sana.Bachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Kwani kubadilisha fani na kusomea kitu kingine kabisa ni kosa? Sema TANZANIA utaonekana tahira.Nilisoma hii kozi miaka ya nyuma ,ki ukweli ni Changamoto sana.
1. Niliomba kazi ya ualimu serikalini kupitia TAMISEMI nikapangiwa kituo,baadae ikashindikana kuingia kwenye payroll kwa sababu professionally sio mwalimu.
2. Niliomba kazi moja ya taasisi za serikali kupitia sekretariat ya ajira nikafaulu usaili,nikaitwa kazini,kureport kazini HR kaniambia Sina sifa
3.Kwa sasa nipo kazini serikalini kwa nafasi ya STATISTICIAN
Ushauri
1. Kwa kazi za serikali Kama una G.P.A kubwa omba kazi za TA vyuoni,
2. kukomaa na interview za statistics maana ndo sehemu pekee tunayoqualify ,Ila hatuna contents za statistics so inabidi ukomae sana kusoma mambo ya takwimu mwenyewe(Ndo njia nliotumia)
3.Kufundisha private school,majority ya tuliomaliza nao wapo huko
4.Kuomba scholarship kufanya masters kwa wenye G.P.A kubwa wengi pia wamefanikiwa
Bachelor of Science in Mathematics
Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.
Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Hapo kwenye Range management hahaa khatari sanaRisk management sjui na insurance
Range management
Unabadilisha una pesa ya kujilipia. Una muda?Kwani kubadilisha fani na kusomea kitu kingine kabisa ni kosa? Sema TANZANIA utaonekana tahira.
Shida siyo muda, labda pesa ndiyo tatizo kubwaUnabadilisha una pesa ya kujilipia. Una muda?
Eti computer science na Cyber crime utaambulia kuwa Fundi madishi na Fundi simu tu wa kujiajiri [emoji28]Daaah, nimecheka sana aisee..huu Uzi udumu milele,
Degree ya mipango na Hana ajira Wala pesa, so amesoma mipango Gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Degree in theology, wahuni wanampongeza ni course nzuri mbususu nje nje [emoji1787][emoji1787]