Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Bachelor of Science in Mathematics

Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.

Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Mkuu, ulisoma UDOM?
 
Bachelor of science in molecular biology and biotechnology

Bachelor of science in microbiology (UDSM)

Bachelor of science in acturial science

Bsc in applied zoology

Bsc in botanical science

Bsc in mathematics and statistics

Bsc in petroleum chemistry

Bsc in wildlife science & conservation



Kama unapesa bora umpe mwanao akafanye biashara kuliko kupoteza muda kwenye hizo kozi za kiwaki
Bachelor of science in mathematics and statistics miyeyusho tupu
 
Bachelor of Science in Mathematics

Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.

Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"
Nilisoma hii kozi miaka ya nyuma ,ki ukweli ni Changamoto sana.
1. Niliomba kazi ya ualimu serikalini kupitia TAMISEMI nikapangiwa kituo,baadae ikashindikana kuingia kwenye payroll kwa sababu professionally sio mwalimu.
2. Niliomba kazi moja ya taasisi za serikali kupitia sekretariat ya ajira nikafaulu usaili,nikaitwa kazini,kureport kazini HR kaniambia Sina sifa
3.Kwa sasa nipo kazini serikalini kwa nafasi ya STATISTICIAN

Ushauri
1. Kwa kazi za serikali Kama una G.P.A kubwa omba kazi za TA vyuoni,
2. kukomaa na interview za statistics maana ndo sehemu pekee tunayoqualify ,Ila hatuna contents za statistics so inabidi ukomae sana kusoma mambo ya takwimu mwenyewe(Ndo njia nliotumia)
3.Kufundisha private school,majority ya tuliomaliza nao wapo huko
4.Kuomba scholarship kufanya masters kwa wenye G.P.A kubwa wengi pia wamefanikiwa
 
Nilisoma hii kozi miaka ya nyuma ,ki ukweli ni Changamoto sana.
1. Niliomba kazi ya ualimu serikalini kupitia TAMISEMI nikapangiwa kituo,baadae ikashindikana kuingia kwenye payroll kwa sababu professionally sio mwalimu.
2. Niliomba kazi moja ya taasisi za serikali kupitia sekretariat ya ajira nikafaulu usaili,nikaitwa kazini,kureport kazini HR kaniambia Sina sifa
3.Kwa sasa nipo kazini serikalini kwa nafasi ya STATISTICIAN

Ushauri
1. Kwa kazi za serikali Kama una G.P.A kubwa omba kazi za TA vyuoni,
2. kukomaa na interview za statistics maana ndo sehemu pekee tunayoqualify ,Ila hatuna contents za statistics so inabidi ukomae sana kusoma mambo ya takwimu mwenyewe(Ndo njia nliotumia)
3.Kufundisha private school,majority ya tuliomaliza nao wapo huko
4.Kuomba scholarship kufanya masters kwa wenye G.P.A kubwa wengi pia wamefanikiwa
Kwani kubadilisha fani na kusomea kitu kingine kabisa ni kosa? Sema TANZANIA utaonekana tahira.
 
Bachelor of Science in Mathematics

Akili zangu zote zimemwagikia hapo, nimebaki mweupe, mwenye stress, halafu waajili wanasema ndo kozi gani hiyo.

Mtaani nako wananichanganya tuu, maana kila mtu anauliza, "kwani hujapata kazi tuu, mbona ulikuaga na akili sana"

Kozi yako imekaa kiualimu zaid although hata kwenye research institute utahitajika. Ukweli ni kwamba kwa kozi kama yako mbele ndio inalipa, hapa bongo bado sana. Pole sana
 
Daaah, nimecheka sana aisee..huu Uzi udumu milele,
Degree ya mipango na Hana ajira Wala pesa, so amesoma mipango Gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Degree in theology, wahuni wanampongeza ni course nzuri mbususu nje nje [emoji1787][emoji1787]
Eti computer science na Cyber crime utaambulia kuwa Fundi madishi na Fundi simu tu wa kujiajiri [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom