πππππBanda la kuvukiza nyungu muhimbili
Nchi inahitaji kufanyiwa overhaul kwa kuiondowa ccm imeshafeli waje kuongoza watu wapya.Dorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
πππBanda la kuvukiza nyungu muhimbili
Hizo zilikua enzi za Dorothy sio ummy lolBanda la kuvukiza nyungu muhimbili
π π π π π π π π π π π π Kwa hyo mkuu cku zt wizara n km ilikuwa tu hkn muendeshaji siyo,,Kujifanya yupo serious kumbe empty set
Kwa madudu ya upigaji na kelele mingiUteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Hivi kabudi si ndio Allenda kunywa nyungu Madagascar au sikumbuki πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ccm yote imeoza, hawana jipya wakae pembeni.
Chadema pelekeni kesi mahakamani, hii ni timing ya kuwaondowa kudai haki ili mjikite kwenye Futuhi za ccm.
Kila siku tunasema hapa mawaziri wasitokane na wabunge hawatusikii, matokeo yake umeishiwa wa kuteuwa unakuja kuturudishia kituko kama Kabudi, Uprofesa wake zero kabisa kazi kutowa mijicho tu.
Haichekeshiπππ