Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Zaidi ya kutuonyesha meno 34 yale hana la ziada, waziri gani wa afya umezidi meno ya kawaida
 
Kama mkwere yupo pale basi naachana na hii nia yangu.
Alikaa kitambo sana ila si unajua hawala hana talaka? kipindi kile ticha wa moto hatari anang'aa balaa mkwere na ticha walikutana ubalozi flani hapa tz...Mzee handsome akamuingiza kwenye siasa huku akiwa anakula tunda hizo ni za ndaaaani kabisa.
 
Alikaa kitambo sana ila si unajua hawala hana talaka? kipindi kile ticha wa moto hatari anang'aa balaa mkwere na ticha walikutana ubalozi flani hapa tz...Mzee handsome akamuingiza kwenye siasa huku akiwa anakula tunda hizo ni za ndaaaani kabisa.
Aisee dingi mkwere anakojolea pazuri.
 
Kuna ripoti ya CAG inayofichua uchotwaji fedha kutoka NHIF, sasa badala ya Waziri kuahughulikia hati chafu, akaja na scheme ya kuwalazimisha Watanzania wote kulipia bima ya afya huku akichezea bango kitita ya huduma za NHIF.

Hakuwa anamsaidia Rais, bali alikuwa kama kwenye mission ya kumfarakanisha rais na wapigakura wake
 
Unaleta hearsay yaani hadithi za kusadikika.

Soma vizuri sheria inayounda NHIF.

Pia elewa kuwa Bima ya Afya inaendeshwa na michango ya waliolipia huduma ya afya.

Mnapoona kibubu kimejaa, mnashindwa kutafakari mara mbili mna chota tu
 
Laana ya mama inamkabili big time.

Alimsusa alipougua hadi kufariki na akalazimishwa na mashosti ndani ya chama akashiriki msiba...

Roho yake na sura yake ni kama afande Hamduni kwa namna anavyosifiwa sasa
Mama yupi jamani
 
Zaid ya asilimia 50 za viongozi wanaoshika Aidha kwa kuteuliwa au kushinda kimagumashi katika chaguzi mbalimbali nchini vichwani mwao ni watupu yani wana uwezo mdogo kiakili.

Kuna waziri alitia aibu kushindwa kuelezea maana ya trab na trat huyo ndo kapewa dhamana ya kuiongoza wizara nyeti kabisa hapa nchini.

Huo ni mfano mmoja tu, mstue nape nauye asubuhi asubuhi katoka kuamka mulize nini tofaut ya network na internet, mulize satellite zinakazi gani katika mawasiliano akikujibu njoo nikupe million 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…