makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nataka nikawe "baba paroko"Umeamua kuambatana na nini teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nikawe "baba paroko"Umeamua kuambatana na nini teh
Mmh hao ndio kiboko, viuno kama cherehani yani....Nataka nikawe "baba paroko"
Panapo ulazima, tutakata mbuno tu, kuwaonesha kondoo sisi wachungaji, sio kwamba vyombo havifanyi kazi, la hasha tumeamua tu kujitenga na papuchi miaka kendaaaa..Mmh hao ndio kiboko, viuno kama cherehani yani....
Cc: Askofu Rashid
Amechimba godoroUmeamua kuambatana na nini teh
😀😀😀😀😀😀 popcorn na ice cream...Mzee wa mikakati ulikua unauza popcorn 🍿 Cinemax nini??
Oya mpango wa Alu umeishia wapi?
Hapo cinemax nikija na Kondom vp?zinauzika?😀😀😀😀😀😀 popcorn na ice cream...
Alu maendeleo sio mabaya.. ukiwa muwindaji unatega machaka mengi
Mimi hata kama miaka kumi imepita kama nna ushahidi wa kutosha naacha.Kuna vitu inabidi tu viwe hivo, mimi kama mimi siwezi kumuacha my wangu eti kisa kanichiti yani achiti hadi kidudu kipungue simuachi....labda niwe na sababu nyingine.
UnajidanganyaMimi hata kama miaka kumi imepita kama nna ushahidi wa kutosha naacha.
Ndugu watumia kondom mmebaki wachache sanaaaa.. Labda ulete warembo ndio wana uzika 😀😀Hapo cinemax nikija na Kondom vp?zinauzika?
Nani kaliwa huko tuje kushuhudiaKwa heshima na taadhima tunawakaribisha wahusika kwenye interview kule kwenye uzi wetu wa kula tunda kimasihara. Karibuni sana.
sura nzuri
shape nzuri
akili ziko vizuri
hapa hata tabia itakuwa nzuri
sasa kwa nini usiwe na furaha!
Sura feki,
shape ya dukani,
akili ziko kama kifurushi cha siku moja,
tabia za kukopa,
Halafu eti uwe na furaha,?
D ndo wewe?Plate namba A imekula plate namba D ya sasa. Safi sana
Teh chai mkuuMimi hata kama miaka kumi imepita kama nna ushahidi wa kutosha naacha.
Anajidanganya sana, tena mtu anaeongea hivi ndio anaishia kuwa kama yule jamaa aliachwa na HamidaUnajidanganya