Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,185
- 8,294
Acha uongo mamaake siyo Mpare ni Mmeru.Mchaga wa marangu ..Baba mchaga Mama ndo mpare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo mamaake siyo Mpare ni Mmeru.Mchaga wa marangu ..Baba mchaga Mama ndo mpare
Ndio nani huyo ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee wa alfu mia na kenda
😂😂😂😂Andika hivi "nasikia mzee majalala kalipasua Linda, macho yamemtoka jinsi ilivyobana" akaunt yako n yangu zitafanan [emoji28]
Yule anaetoaga mimachoNdio nani huyo ?
unapenda uhondo uhondoNilikua napitwa na uhondo mweeeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila le proffeseri namwelewa sanaa na ile mimacho yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binafsi naona amefanya kazi nzuri sana ,kijana alitutambia sanaa katufanya wengine tujione hatuna wanawake ila yeye tu
Tena bora nikose kula, ila sio ubuyu.unapenda uhondo uhondo
Hii before au after?ANAANDIKA NIKI WA PILI
_
Ukiwa na familia, umefanikiwa kua na watu ambao ni muhimu kuliko wewe katika maisha yako, ukisimama kwa ajili yao umesimama kufanya kazi ya Mungu, busara yako itaongezeka, nidhamu ya maisha itabadilika, maono yako yatakua makubwa, vipawa vyako vitafunguka, Maisha yako yataongeza maana....familia ni baraka na ni chem chem.....Ukisimama kwa ajili ya familia Jeshi la Mungu liko nyuma yako, hutashindwa kamwe...>>>BY nikkwapili"View attachment 1747017
Umechezea block?Jamani eeeh Nikki sahiv msimuingie kizembe View attachment 1738684
Mapema sanaa [emoji3064]Umechezea block?
AfterHii before au after?
After beforeHii before au after?
Ahahahah eti After Before..After before