Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha.Fikiria haya ni mapenzi tu, kitu ambacho hata mbwa wanafanya, vipi kwenye maswala ya kiuchumi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.Fikiria haya ni mapenzi tu, kitu ambacho hata mbwa wanafanya, vipi kwenye maswala ya kiuchumi?
Unanitaka kwa nguvu sana, bahati mbaya I don't do gays
Oyaaaa😂😂😂😂😂pole bro kuchapiwa n kawaida sema nayo inauma zaid maana kila Kona inajulikana😀😀😀Wewe ni mtu usie na akili. Hayo mambo ya Niki na mkewe wewe yanakuhusu nn? Ukiwa shoga ni lazima uwe mbea?
Kosa lake nn jamani mbona mwamba yuko kawaida tuVp ashaachwa?[emoji28][emoji28]tatizo mwamba ana ushamba flan wa kichugga
Habari yako mweshimiwa wa mchongoUnanitaka kwa nguvu sana, bahati mbaya I don't do gays
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee Nick mie nikutake wa nn?? Joan amekuacha ndo utaniweza mie? Poleeeeh kwa kuachwaaa. Futa machozi na unywe maji mengi.Unanitaka kwa nguvu sana, bahati mbaya I don't do gays
Cheo na vichenji kidogoKosa lake nn jamani mbona mwamba yuko kawaida tu
Ova
Daah wachawi mliloga yakawaMabaharia yupo njiani tumesikia anamwanamke mzuri.Itafika siku tu atajua kwamba hajui ndio atakumbuka jojo ana miaka 39.
Anaekuchapia mkeo akikuona mume anadindisha kma kamuona mkeo tuOyaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole bro kuchapiwa n kawaida sema nayo inauma zaid maana kila Kona inajulikana[emoji3][emoji3][emoji3]
Joan kajua kumkomoa aisee
Joh makini huwa nakutana nae kwenye vikao vya chama chetu cha KATAA NDOA ila anabint mkubwa tuHivi Joh Makini hanaga mwanamke? Huyu Nikki ni aibu kwa wanaume wa Arusha
DaahhhMabaharia yupo njiani tumesikia anamwanamke mzuri.Itafika siku tu atajua kwamba hajui ndio atakumbuka jojo ana miaka 39.
SawaKabisa baba swalehe, lazima itafunwe tuu
Kwa hiyo huu ushauri umefanyiwa kazi..Mlio karibu, hebu mmegeeni kdg ,hahahaha
Naona unaenda naye sawa, akiweka jiwe unaweka ugoko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee Nick mie nikutake wa nn?? Joan amekuacha ndo utaniweza mie? Poleeeeh kwa kuachwaaa. Futa machozi na unywe maji mengi.
Yakizidi muone daktariiii.
Sasa kilichokuchosha ni nini kama sio ujinga,Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,
Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Yaani ulivyoandik ndo mmepata picha unaongea sasaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee Nick mie nikutake wa nn?? Joan amekuacha ndo utaniweza mie? Poleeeeh kwa kuachwaaa. Futa machozi na unywe maji mengi.
Yakizidi muone daktariiii.
Hahahahaha watu jamaniMabaharia yupo njiani tumesikia anamwanamke mzuri.Itafika siku tu atajua kwamba hajui ndio atakumbuka jojo ana miaka 39.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]chupi mkononiiiWameachana kisa mwenye mapenee, wee vaccay Dubenga mchezoo, ila ndo waja wanasema bidada ni chupi mkononi had kijana wa UVCCM kamvua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]