At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Mtasubiri sana
Kuna wataalamu gani twiter.??Mzee utangojea sana hizi ni zama za kiongozi anayesikiliza wataalamu sio zama zile za stone age ambapo wataalamu waliitwa kushauriwa na sio kushauri, tunaiona +255 inayotembea na dunia kusonga mbele.
sasa kama matatizo ya watu likiwemo janga la Covid 19 lipo twitwer sawa?!Kuna wataalamu gani twiter.??
Tatizo hamnaga akili mnafuata maoni ya watu wengine unapelekwa tu kama bendera. Ukiambia hiki sawa kile ndio.Mama akipatia atasifiwa, na akikosea atakoselewa.
Nyie mataga bado tu hamjakubali kuwa lile jiwe linu limeisha?Tatizo hamnaga akili mnafuata maoni ya watu wengine unapelekwa tu kama bendera. Ukiambia hiki sawa kile ndio.
Fungueni bongo zenu
Halijadiliwi twitter?sasa kama matatizo ya watu likiwemo janga la Covid 19 lipo twitwer sawa?!
Umesikia kauli ya Chalamila leo..!Nyie mataga bado tu hamjakubali kuwa lile jiwe linu limeisha?
Sina Masilahi yoyote mimi.Sijaona ulichoongea, au na wewe masilahi yako yameguswa na uongozi wa mama Samia
Mbona hamna jema enyi machogo?Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Chalamila amesema kuwa nyie mataga hamkujuaga kuwa hata mawe huwa yanakufa.Umesikia kauli ya Chalamila leo..!