Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Twitter ndio walishauri tujifunike mablanket tukiwa na masufuria?Halijadiliwi twitter?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twitter ndio walishauri tujifunike mablanket tukiwa na masufuria?Halijadiliwi twitter?
Rais Samia kaongea kuhusu Infrastructure Development Strategic Plan 2021-2025 unaijua io au inazani ni ujinga ujinga kama weweIko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Mfa maji bwana sasa ni awamu ya 6 tatizo wanaishi nyuma ya mudaWe mleta mada huna tofauti na mfa maji haishi kutapatapa.
#kaziiendelee
Kuna ka kikundi kametengemezwa kumchafua maza tunawajuwaSijaona ulichoongea, au na wewe masilahi yako yameguswa na uongozi wa mama Samia
akituzingua tutamzinguaIko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Rudi ikulyamabambashiIko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Sawa MusibaIko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Mwaka huu Tim ile mtapasuka KWA hasira,Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Pole sana....Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Mbona sasa.....Sina Masilahi yoyote mimi.
Mimi ni mzalendo tunahitaji kuwa na misingi imara ya uongozi.
Na bahati nzuri huyu hafi tutaenda nae miaka 14 ijayo shenzi kabisa nyie. Anamalizia ya kaka jambazi then tunaanza safari ya matumaini. Mtazoea tu kama vp hamieni Burundi kwenu, msituzingue.Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.