Tutaona mwisho wenu ninyi timu kusifia sifia ya Rais Samia

Tutaona mwisho wenu ninyi timu kusifia sifia ya Rais Samia

Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Naona hata bando tu kashindwa pamoja na matamuko na wenye mitandao yao wameziba masikio hana chakufanya ngoja tusubili muda bado ni mapema sana kusifia maana hata siku 100 hajaisha.
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Mkenya huyu!!
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
UKWELI NI KWAMBA;
Akifanya vizuri anasifiwa.
Akikosea anakosolewa.
NA UZURI;
Yeye mwenyewe yuko tayari kukosolewa.
Siyo kama kipindi kileeee!! Ukikosoa risasi 38.
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Mdogo wangu,hebu kaa chini utulie kunywa maji glass moja pressure ishuke kwanza.
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Mkuu, Lisu alivyopigwa risasi yeye pekee ndio alienda kumpa pole hosptal huku nyuma wote wakikana kabisa, huo je ulikua unafiki? Kama ulikiliza hotuba ya Mh rais alisema mkono wake ulikua mfupi akimaanisha kua yoote haya anayofanya sasa alikua anahitaji kutekeleza toka kipindi cha nyuma ila alishindwa, na pia ni mtu anaesikiliza wananchi wake kwahyo sioni lolote baya kwake kua mvumilivu tupate furaha.
 
Wanaompinga mama Samia walizoea kuishi kwa uongo uongo na kupiga dili sasa mirija imezibwa wanataka kuichafua nchi...Wanatumiwa na mabeberu wa China.

Mama Samia tutamuunga mkono mpaka atakapoonesha rangi yake halisi.

AKITUZINGUA TUNAMZINGUA.
 
Kuna wataalamu gani twiter.??
aliekwambia wataalam ni wa twitter ni nani?
kuna majembe ndani ya wizara ya fedha ni wataalam wa kodi.

ofcourse ncji haifanyi kazi kwa kusikiliza twitter. check yiur fact kabla hujacomment
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Sawa vaa chup yako uende
 
Naona hata bando tu kashindwa pamoja na matamuko na wenye mitandao yao wameziba masikio hana chakufanya ngoja tusubili muda bado ni mapema sana kusifia maana hata siku 100 hajaisha.
Mama atafanya makubwa sana,amekaa na jiwe miaka mitano amesoma vizuri utwala Wa jiwe ulikuwa Wa ajabu sana.

Mama ndie Joshua atatufikisha kanaan.
 
Tutabishana sana lakini wa - Afrika ndivyo tulivyo
 
Wewe ndiye Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa TPDC??
Au afisa kipenyo unayejua sasa utapangiwa kupanga mafaili halmashauri ya Utete??

Mkuu sema wewe ulitaka nani awe pale badala ya mama Rais Samia???
Tupe jina la kiongozi wako mnayeshea visheni, ya kuongozana??

Mzalendo wa kweli mama Samia, anapigania wananchi wake!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Lakini si amesema anaenda na ilani ya uchaguzi ya CCM, ingawaje anaona mengine kama ndoto!
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu...
Mlizoea like ki dingi ki jpm kuua watu ndo mlifurahi! Sasa kaja mwenye kupenda haki sawa bila manyanyaso mmefura.
 
Back
Top Bottom