Tutaona mwisho wenu ninyi timu kusifia sifia ya Rais Samia

Tutaona mwisho wenu ninyi timu kusifia sifia ya Rais Samia

Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni.

Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.

Vinginevyo ajiuzulu.
Nyie Watu bhana, Mama hajamaliza hata mwezi Ofisini unamwambia hana Vision. Kumbuka amepata Urais katika mazingira yasiyotarajiwa. Tumpe muda amalize kuunda wasaidizi wake. Unaweza nitajia Mission Vision na Core Values za Nchi katika utawala uliopita? Mimi naijua core value moja....Vitisho at its best.....
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni.

Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.

Vinginevyo ajiuzulu.
Kama vision yake hujaiona wewe una shida kubwa
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini...
Kwa sasa Samia ndiye Raisi wa Jamhuri ya Tanzania. Tusipomsifia yeye nani atamsifia? Jiwe naye alivyokuwa raisi mbona tulimsifia!!! Jiwe kaenda harudi tena hivyo lazima tumsifie raisi aliyepo!
 
Naona hata bando tu kashindwa pamoja na matamuko na wenye mitandao yao wameziba masikio hana chakufanya ngoja tusubili muda bado ni mapema sana kusifia maana hata siku 100 hajaisha.
Mbona tayari washafanya marekebisho, unakaa nchi gani ww?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mama yuko juu huyoooo..hapana chezea...
Siku mkiingia 18 zake akawabana kende msiingie kutoa povu hapa muendelee kusifia tu.
Ikitokea hamjapandishwa mishahara au madaraja muendelee kukaa kimya na kusifia.
Mkicheleweshewa mishahara msifie zaidi hapo tutaenda sawa vitu vikipanda bei msifie zaidi 😂😂😂😂
 
Nusu yake nyingi, tunataka tupate zero kabisa, ili Huyo bi mkubwa azidi kupaa, ili mradi nchi haiko mikononi mwa dhalimu tena.
Tawire kaka.
Hapo hupo sawa kabisa mama aendelee miaka mia.
Mungu mbariki Rais wetu mama Samia.
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu..
Kwa maelezo yako

Chanjo hujachanjwa
Nyungu hujapiga
Hujajifungia unaenda kazini kila siku


Mbona hujafa na corona sasa??
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu....
So nia yako ni kwamba ajiuzulu aitishe uchaguz mwingine?

Nakuonaaa kabisa wew ndo hauna vision kabisa kabisa
 
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.

Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni.

Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.

Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.

Vinginevyo ajiuzulu.
Wasiokuelewa watakutukana. Ukweli utajulikana baada ya miezi minne. Tujipe kipindi cha maangalio
 
Wewe ndo ubongo wa bi mkubwa?!...,Nyie Wasukuma acheni kupandikiza chuki kwa maslahi yenu...,
Chadema hata uchaguzi ukirudiwa kura zenu za uchaguzi uliopita mtapata nusu yake,Chezea B mkubwa wewe.
 
Back
Top Bottom