nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
We mpuuzi katiba lenu bovu ndo limemuweka ikulu kama slivyoweka ikulu jiwe
Sisi tunampimia tu
Tunachofurahi ni kuwa amedenounce ukatili wa mtangulizi wake,at least kwa maneno kwa sasa
Tunampimia kwa siku hizi za mwanzo
Akizingua huyu rais atatukuta hapa tunamngojea kumpa makavu mbashara kama jiwe
We don"t discriminate
Sisi tunampimia tu
Tunachofurahi ni kuwa amedenounce ukatili wa mtangulizi wake,at least kwa maneno kwa sasa
Tunampimia kwa siku hizi za mwanzo
Akizingua huyu rais atatukuta hapa tunamngojea kumpa makavu mbashara kama jiwe
We don"t discriminate