Tutawalaumu bure wachezaji Simba

Tutawalaumu bure wachezaji Simba

Wengine wajuwaji Sana, hawapendi kushauriwa. Tutamlaum bure Matola.

Kwa saikolojia yangu ndogo, body language ya Matola inanionyesha hakubaliani na kocha Mkuuu.
Pablo anaonekana kabisa kiburi na jeuri. Wee muangalie tyuuh akiwa pembeni ya uwanja.
 
Matola atatoa ushauri gani kwa kocha anayepiga mateke hadi viti? Simba wakimbakiza huyu kocha nitajua hawana malengo makubwa ya timu kufanya vizuri.

Kocha ni takataka kabisa huyu. Kaua viwango vya wachezaji mshenzi mkubwa huyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapenzi na mashabiki wa Simba watalaumu kila mtu kwa matokeo mabovu kwenye msimu huu wa ligi japo walikuwa na mafanikio kwenye shirikisho Afrika. Kosa lilianzia kwenye usajili wa msimu uliopita kusajili zaidi vijana wa kiume badala ya kusajili wanaume kamili. Sakho, Banda, Mhilu Mwanuke ni vijana "promising" ambao watakuja kuwa na msaada mkubwa sana kwa Simba miaka miwili/mitatu ijayo. Mfano mzuri Yanga ilisajili msimu uliopita wanaume kama Mayele, Aucho, Bangala na wengineo ndio maana wamekuwa na matokeo mazuri. Mzimu ulikokuwa unamtafuna Azam kwa kung'ang'ania vijana ndio huo unamtafuna Simba sasa hivi. Mfano mdogo tu hao wakina Sakho na Banda wakisukumwa tu kidogo chini wala hawaamki hata kama wana nafasi ya kuamka na kufunga lakini mwenzao Kibu akisukumwa mpaka aende chini ni kazi na akiamka anaamka na mpira wake safari inaendelea kuelekea goli la mpinzani labda tu asikie filimbi ya mwamuzi.

Na iwapo viongozi hawatakuwa makini katika kipindi hiki muhimu cha usajili basi mwakani vilio ndio vitakuwa mara mbili zaidi. Ushauri wangu wa bure kwa viongozi wa Simba wazingatie vigezo vifuatavyo:-
1. Wasajili wachezaji wenye "work rate" kubwa uwanjani kama ilivyokuwa kwa Luis na Dilunga. Yaani hawa utawakuta wapo golini kwa adui
wanashambulia mara ghafla unawaona pembeni kwenye goli lao wamefanya "tackling" kuokoa wakiwasaidia mabeki wao wa pembeni.
2. Wasajili wachezaji ambao hawatembei uwanjani baada ya kunyang'anywa mpira au kupoteza mpira kizembe. Wachezaji kama Bwalya na
Sakho wana vipaji vya hali ya juu lakini vipaji hivyo vinawasaidia wao tu kupata sifa na havina msaada kwa timu kabisa. Mbaya zaidi
wanakaa na mpira muda mrefu miguuni mwao halafu wakinyangánywa na adui wanatembea na kuwaachia wenzao kazi ya kuutafuta
mpira.
3. Wasajili viungo na washambuliaji wenye kasi ambao wataichangamsha timu uwanjani. Sio siri Simba sasa hivi ipo "slow " sana.
Inatengeneza mashambulizi yake taratibu sana kutokea nyuma kiasi wakati timu inapoamua kwenda kushambulia unakuta timu pinzani
zimesha jipanga kuzuia. Hili la kutengeneza mashambulizi kuanzia nyuma halina shida iwapo tu utakuwa na wachezaji wenye "quality" ya
Chama na Luisi kwani wao wawili tu wanaweza kugongeana mpira kuanzia nyuma mpaka golini kwa adui.
4. Wasajili wachezaji wenye maumbo makubwa hii itawasidia pale wanapokutana na timu zinacheza mpira wa nguvu.
5. Mwisho kabisa wasajili wachezaji wapambanaji muda wote wawapo uwanjani kwa dakika zote tisini. Aina ya wachezaji wapambanaji ni
kama Kapombe, Inonga, Kibu na Lwanga (japo huyu amekuwa na changamoto ya majeraha).

Ni mtizamo tu.
Wahusika wachukue desa hili hapa.
 
Una jicho kama langu. Kocha wa Azam yupo vizuri. Nadhani aliye mtafuta ana maono kwelikweli. Tusubiri tuone zaidi.
Nashkur mkuu Kwa kuwa na jicho kama langu unajua mkuu tuna jicho tofauti Kwa kila mtu kulingana na anavyouona uwezo wa mwalimu ,tactics , jinsi anavyowatumia wachezaji etc ......
sasa kila mmoja na anavyoona .....ndo maana nkasema binafsi namuelewa sana Kwa makocha wa sasa hapa nchini wa kigeni ......Yule jamaa yupo vizuri Sana sema tu ndo ivyo.
 
Nashkur mkuu Kwa kuwa na jicho kama langu unajua mkuu tuna jicho tofauti Kwa kila mtu kulingana na anavyouona uwezo wa mwalimu ,tactics , jinsi anavyowatumia wachezaji etc ......
sasa kila mmoja na anavyoona .....ndo maana nkasema binafsi namuelewa sana Kwa makocha wa sasa hapa nchini wa kigeni ......Yule jamaa yupo vizuri Sana sema tu ndo ivyo.
Kwahiyo anakwamishwa na kipi mbona Azam haifanyi vizuri?
 
Kwahiyo anakwamishwa na kipi mbona Azam haifanyi vizuri?
wewe unaamini tatizo la Azam ni kocha ????
Unaamini hata akipelekwa pale prof Nabi or Gomez or uchebe .....Azam utafanya vizuri kama ilivyotazamiwa kuwa timu kubwa yenye kuleta ushindani etc???

Biñafsi siamini Sana huko japo it can be among the contributing factors but Kwa kidogo Sana Kwa sasa .....
 
Achana na Pablo mimi nina hasira na Matola, Matola yupo Simba kwa zaidi ya miaka minne lakini unaona kabisa mchango wake kama kocha msaidizi kwa timu ni sifuri.

Kocha mpaka ligi inaelekea ukingoni hana first eleven wakati Matola ilitakiwa awe msaada kumwambia kocha wachezaji wazuri wa kwenye timu! Matokeo yake kaua kiwango cha Lwanga, Bwalya, Kagere, Bocco na hata Chama ambaye amekuwa hapewi nafasi kabisa.

Ni muda sasa wakuachana na Matola huyo ndio mchawi wetu.
Achana na Matola! huyo ni veteran wa Simba!! Asiguswe!!
 
Mchawi ni wakati!! Kila timu wakati fulani huwa inapitia wakati mgumu pamoja juhudi za kila namna kufanyika!! Dawa siyo kugombana bali ni kutuli, kusubiri na kutokukata tamaa!! Hali hii hutokea kwa timu kama timu na kwa mchezaji binafsi kama mchezaji!! Lakini utulivu ndio dawa na hatimaye wakati huu hupita na ukarejea tena wakati wa shangwe na kufanya vizuri!! Hakuna timu hata moja duniani ambayo haijawahi kupitia wakati mgumu ambapo kushinda huwa ni ngumu au kwa mbinde sana. Mfano: Ral Madri ilishapitia wakati huo ikawa haiwezi hata kuingia hatua ya mtoano euefa champions league!! AC milan ilishapitia na kwa sasa ndo inarudi!! Juventus inapitia kwa sasa, Man U nayo inapitia kwa sasa!. Kwa wachezaji Messi ndo anapitia kwa sasa!! Msimu mzima huko ufaransa ana magoli 6! Pamoja na kucheza vizuri lakini ni wakati uko kinyume naye!! Hata kwa Simba kwa sasa ni wakati ulio kinuyme!! Simba bado ni timu nzuri sana, inacheza vizuri na kocha yuko vizuri!! Ni vizuri kocha apewe muda wa kuanza na timu toka mwanzo wa musimu na wamsikilize maboresho anayotaka kuyafanya kwenye kikosi cha Simba!! Pablo bado ni bonge la kocha!!! Mtakuja kunishukuru mwisho wa msimu ujao!!
 
Achana na Pablo mimi nina hasira na Matola, Matola yupo Simba kwa zaidi ya miaka minne lakini unaona kabisa mchango wake kama kocha msaidizi kwa timu ni sifuri.

Kocha mpaka ligi inaelekea ukingoni hana first eleven wakati Matola ilitakiwa awe msaada kumwambia kocha wachezaji wazuri wa kwenye timu! Matokeo yake kaua kiwango cha Lwanga, Bwalya, Kagere, Bocco na hata Chama ambaye amekuwa hapewi nafasi kabisa.

Ni muda sasa wakuachana na Matola huyo ndio mchawi wetu.
We ni mpumbavu,wazungu unawajua au unawasikia?
Unadhani hao ni kama shemeji zako uwapangie?
Anayetakiwa kuksumiwa ni Pablo na sijui kwa nini bado yupo
 
We ni mpumbavu,wazungu unawajua au unawasikia?
Unadhani hao ni kama shemeji zako uwapangie?
Anayetakiwa kuksumiwa ni Pablo na sijui kwa nini bado yupo
Kuna sehemu umeona nimetumia neno la kukera kama wewe ulivyoanza? Unafikiri kuniita mpumbavu itakupunguzia ukali wa maisha? Hongera mwerevu wa kizungu.
 
Mchawi ni wakati!! Kila timu wakati fulani huwa inapitia wakati mgumu pamoja juhudi za kila namna kufanyika!! Dawa siyo kugombana bali ni kutuli, kusubiri na kutokukata tamaa!! Hali hii hutokea kwa timu kama timu na kwa mchezaji binafsi kama mchezaji!! Lakini utulivu ndio dawa na hatimaye wakati huu hupita na ukarejea tena wakati wa shangwe na kufanya vizuri!! Hakuna timu hata moja duniani ambayo haijawahi kupitia wakati mgumu ambapo kushinda huwa ni ngumu au kwa mbinde sana. Mfano: Ral Madri ilishapitia wakati huo ikawa haiwezi hata kuingia hatua ya mtoano euefa champions league!! AC milan ilishapitia na kwa sasa ndo inarudi!! Juventus inapitia kwa sasa, Man U nayo inapitia kwa sasa!. Kwa wachezaji Messi ndo anapitia kwa sasa!! Msimu mzima huko ufaransa ana magoli 6! Pamoja na kucheza vizuri lakini ni wakati uko kinyume naye!! Hata kwa Simba kwa sasa ni wakati ulio kinuyme!! Simba bado ni timu nzuri sana, inacheza vizuri na kocha yuko vizuri!! Ni vizuri kocha apewe muda wa kuanza na timu toka mwanzo wa musimu na wamsikilize maboresho anayotaka kuyafanya kwenye kikosi cha Simba!! Pablo bado ni bonge la kocha!!! Mtakuja kunishukuru mwisho wa msimu ujao!!
Watu kama nyie ndio mnawapa vichwa viongozi.

Huyu kocha hafai kabisa.Ninatamani atimuliwe hata kipindi hiki cha half time.
 
Mchawi ni wakati!! Kila timu wakati fulani huwa inapitia wakati mgumu pamoja juhudi za kila namna kufanyika!! Dawa siyo kugombana bali ni kutuli, kusubiri na kutokukata tamaa!! Hali hii hutokea kwa timu kama timu na kwa mchezaji binafsi kama mchezaji!! Lakini utulivu ndio dawa na hatimaye wakati huu hupita na ukarejea tena wakati wa shangwe na kufanya vizuri!! Hakuna timu hata moja duniani ambayo haijawahi kupitia wakati mgumu ambapo kushinda huwa ni ngumu au kwa mbinde sana. Mfano: Ral Madri ilishapitia wakati huo ikawa haiwezi hata kuingia hatua ya mtoano euefa champions league!! AC milan ilishapitia na kwa sasa ndo inarudi!! Juventus inapitia kwa sasa, Man U nayo inapitia kwa sasa!. Kwa wachezaji Messi ndo anapitia kwa sasa!! Msimu mzima huko ufaransa ana magoli 6! Pamoja na kucheza vizuri lakini ni wakati uko kinyume naye!! Hata kwa Simba kwa sasa ni wakati ulio kinuyme!! Simba bado ni timu nzuri sana, inacheza vizuri na kocha yuko vizuri!! Ni vizuri kocha apewe muda wa kuanza na timu toka mwanzo wa musimu na wamsikilize maboresho anayotaka kuyafanya kwenye kikosi cha Simba!! Pablo bado ni bonge la kocha!!! Mtakuja kunishukuru mwisho wa msimu ujao!!
Huyu kocha timu yake inacheza kwa falsafa ipi au kikubwa wachezaji wanapiga mpira?
 
Back
Top Bottom