Hakuna mwizi mwenye hela nyingi anakaa ndani na Tsh, hizo hela zinazopigwa nyingi ziko kwenye USD, EURO na PAUNDI.
Masoko ya hisa duniani huko watu wameshaweka hela kitambo, nyingine ziko swiss banks nk.
Bado hatujui tu kwanini USD iliadimika/imeadimika mitaani?
Zipo biashara nyingi tayari mitaani zinarun lakini undercover kuna wahuni wanasafisha hela zao na kuzitoa nje.
Njia pekee na serious ya kudeal na wezi ni kudili nao live live bila kificho usiku na mchana.
Serikali itangaze crack down kwenye mabank yote ya nje juu ya hela za wanasiasa wa Tanzania, hizo account ziwe seizures mpaka maelezo ya kutosha ya upatikanaji wa hizo hela yatolewe na mhusika kwa GOT.