Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ni kijana aliyepambana kufika hapo alipo na ameleta ajira kwa wenzake kuanzia level za juu mpaka level za hawa wanaoitwa chawa.
Serikali inamtambua, taifa tunamjua ila HANA HADHI YA KUPEWA SIKU YA KITAIFA KAMA NYERERE, KARUME.
Alichofanya kufikia sasa ni kidhaifu sana mbele ya wenye hadhi hizo. Apambane kulitumikia taifa na huenda akafanya jambo la kipekee na ndoto yako ikatimia. Ila kwa sasa HIYO HADHI HANA WALA HAJAIKARIBIA. STILL NI KIJANA MUHIMU KATIKA TAIFA LETU.
Serikali inamtambua, taifa tunamjua ila HANA HADHI YA KUPEWA SIKU YA KITAIFA KAMA NYERERE, KARUME.
Alichofanya kufikia sasa ni kidhaifu sana mbele ya wenye hadhi hizo. Apambane kulitumikia taifa na huenda akafanya jambo la kipekee na ndoto yako ikatimia. Ila kwa sasa HIYO HADHI HANA WALA HAJAIKARIBIA. STILL NI KIJANA MUHIMU KATIKA TAIFA LETU.