Tuungane kuiomba Serikali ifanye siku ya tarehe 02 Oktoba kila mwaka iwe Diamond Platnumz day

Tuungane kuiomba Serikali ifanye siku ya tarehe 02 Oktoba kila mwaka iwe Diamond Platnumz day

Kati ya prof jay na mond alieupa huu mziki hadhi ya kuwa kama kazi mwanzo kabsa nani.?
Neither of them. Mr Two ndiye mtu wa kwanza kabisa kuubadilisha mziki wa Tanzania na kuwa kazi. Prof J ndiye aliyefuata na zaidi ya hapo aliuheshimisha.
 
View attachment 2374522

Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.

Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.

Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.

Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.

Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.

Happy birthday Simba 🦁
Tumekusikia mke wa domo. Tunalifanyia kazi wazo lako
 
View attachment 2374522

Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.

Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.

Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.

Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.

Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.

Happy birthday Simba [emoji881]
Usisahau kuwa wewe ni mwanaume. Ukiendelea hv utafumuliwa
 
W

Walikuepo kina mr nice tunao kija lady jay dee ni wakali, kina prof jay ni balaa wameimba ngoma zenye kudumu vizazi na vizazi sio hizo BIG G zake. Kuna wasanii wakali tu ila hawana fyongo na watakuja wakali zaidi yake mara nyingi zaidi. Ni muda tu
Nafikiri muda umewadia, Jamaa kabaki mitandaoni tu sio stejini.
 
Back
Top Bottom