Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Niko hapa baba nafikiria nimjibu nini huyunilikua nimeandika tusi nikafuta kwa sabb ya kulimwa tofali na mod natamani Spartacus mnyama mkali aje kweny huu uzi amalizane na ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hapa baba nafikiria nimjibu nini huyunilikua nimeandika tusi nikafuta kwa sabb ya kulimwa tofali na mod natamani Spartacus mnyama mkali aje kweny huu uzi amalizane na ww
We ni mwehu kweli wewe, umezaliwa mwaka 1999? Au 2000?View attachment 2374522
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.
Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.
Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.
Happy birthday Simba [emoji881]
Wenye akili wanamzungumzia Hayati Marijan Rajaab Jabali la Muziki nchini,Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Mtu mweusi hakika ni nyaniView attachment 2374522
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.
Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.
Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.
Happy birthday Simba [emoji881]
Naona unakoelekea sasa, utakuwa kunguni badala ya chawa! Yaani unachukulia Watanzania wote kama vile tuna akili ndogo kama ya kwako.View attachment 2374522
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.
Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.
Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.
Happy birthday Simba 🦁
Weka chuki pembeni mkuu utaiona logicNaona unakoelekea sasa, utakuwa kunguni badala ya chawa! Yaani unachukulia Watanzania wote kama vile tuna akili ndogo kama ya kwako.
Pamoja na kwamba sikubaliani na hilo wazo la Diamond day ila hao uliowataja hawakuleta impact wala mapinduzi kwenye tasnia ya burudani kama Diamond Platinumz, hata wakijichanganya kwa pamoja hawafiki hata robo ya impact ya Diamond.W
Walikuepo kina mr nice tunao kija lady jay dee ni wakali, kina prof jay ni balaa wameimba ngoma zenye kudumu vizazi na vizazi sio hizo BIG G zake. Kuna wasanii wakali tu ila hawana fyongo na watakuja wakali zaidi yake mara nyingi zaidi. Ni muda tu
Pamoja na kwamba sikubaliani na hilo wazo la Diamond day ila hao uliowataja hawakuleta impact wala mapinduzi kwenye tasnia ya burudani kama Diamond Platinumz, hata wakijichanganya kwa pamoja hawafiki hata robo ya impact ya Diamond.
Diamond ameugeuza muziki kuwa biashara kubwa, ameajiri vijana wengi na kubadili maisha yao kupitia muziki wake. Sasa hivi ukitaja top 5 countries in Africa chini ya jangwa la Sahara katika tasnia ya muziki it's very likely Tanzania kuwemo kwenye orodha lakini artist wa kimataifa anayepambana kwenye top level ni mmoja tu na kabla yake hatukuwahi kuwa na artist wa caliber hiyo.
All in all wazo la Diamond day ni upuuzi uliopitiliza.
Acha uhuni mkuu....View attachment 2374522
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.
Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa huhuni miuuii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.
Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.
Happy birthday Simba 🦁
Issue ni impact waliyoiacha/waliyoiweka kwenye ramani ya muziki, anything tangible kinachoonekana bila ya blah blahs.Ni hivi. Nyumba inaanzia msingi. Wape heshima yao malegendary wale bila wao huyo asingepata kuujua mziki. Kupitia mafanio machache na makosa machache ya watangulizi ndipo akaibuka mondi hivyo pafikirie hapo.
Issue ni impact waliyoiacha/waliyoiweka kwenye ramani ya muziki, anything tangible kinachoonekana bila ya blah blahs.
Secondly wao si waanzilishi, nao ni muendelezo tu wa waliyayakuta hivyo kama credits unatakuwapa waanzilishi hao watoe kabisa.
Ukweli ni kuwa mageuzi aliyoyafanya Diamond Platinumz(single handedly with the hierarchy in the industry against him) anastahili sifa zaidi ya wote.
NB: Wazo la Diamond day ni upuuzi.
We ndiyo hauna akili, eleza alichofanya Jide kwa industry zaidi ya manufaa yake binafsi, japo namkubali sana Prof J lakini he is just a local artist(kwenye zone ya East Africa tu).Unampa mond credit afu una mnyima jide credit una akili kweli.? Kati ya prof jay na mond alieupa huu mziki hadhi ya kuwa kama kazi mwanzo kabsa nani.?