Sikudokoa Mboga yako
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 462
- 947
Neither of them. Mr Two ndiye mtu wa kwanza kabisa kuubadilisha mziki wa Tanzania na kuwa kazi. Prof J ndiye aliyefuata na zaidi ya hapo aliuheshimisha.Kati ya prof jay na mond alieupa huu mziki hadhi ya kuwa kama kazi mwanzo kabsa nani.?
Amina kubwa. Ila haimbwi eti.?Neither of them. Mr Two ndiye mtu wa kwanza kabisa kuubadilisha mziki wa Tanzania na kuwa kazi. Prof J ndiye aliyefuata na zaidi ya hapo aliuheshimisha.
Tumekusikia mke wa domo. Tunalifanyia kazi wazo lakoView attachment 2374522
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.
Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.
Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.
Happy birthday Simba 🦁
Usisahau kuwa wewe ni mwanaume. Ukiendelea hv utafumuliwaView attachment 2374522
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa.
Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz.
Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu baba wa sanaa ya burudani Tanzania ambaye amefanya mambo makubwa tangu uwepo wa taifa ili la Tanzania.
Tukiamua inawezekana, kama tuna Nyerere day na Karume day hatushindwi kumpa hii heshima gwiji huyu hodari kabisa kuwai kutokea.
Mungu mbariki Diamond Platnumz, Mungu ibariki Tanzania.
Happy birthday Simba [emoji881]
Kama ambavyo wanampiga mashine dingi yako?Usisahau kuwa wewe ni mwanaume. Ukiendelea hv utafumuliwa
Njoo nikunyonyeshe koni.Tumekusikia mke wa domo. Tunalifanyia kazi wazo lako
Aaaah mke wa mondi kasimama Dede.Njoo nikunyonyeshe koni.
Njoo nikuchumishe mbogaAaaah mke wa mondi kasimama Dede.
vp mumeo hajarudi bado!?
Njoo unichumishe mboga.
Nafikiri muda umewadia, Jamaa kabaki mitandaoni tu sio stejini.W
Walikuepo kina mr nice tunao kija lady jay dee ni wakali, kina prof jay ni balaa wameimba ngoma zenye kudumu vizazi na vizazi sio hizo BIG G zake. Kuna wasanii wakali tu ila hawana fyongo na watakuja wakali zaidi yake mara nyingi zaidi. Ni muda tu
Kila jambo na muda wakeNafikiri muda umewadia, Jamaa kabaki mitandaoni tu sio stejini.
Hii strategy ya kuwa na chawa wanaompamba mitandaoni sidhani km itamrudisha kwenye game.Kila jambo na muda wake
Muda unaanza kumuacha sema alisha jiweka sawa kiuchumi so anakuwa mfanya biashara na kama vipaji vingi anaweza geukia upande mwingine hata uigizajiHii strategy ya kuwa na chawa wanaompamba mitandaoni sidhani km itamrudisha kwenye game.