Tuungane kukemea ajali hizi, nyingi zina uzembe ndani yake

Tuungane kukemea ajali hizi, nyingi zina uzembe ndani yake

Mkuu wa police hatoshi kwenye nafasi hiyo ajiuzulu
Kama anashindwa kutoa amri na kuwawajibisha wa chini basi aondoke

Nchi zilizoendelea angejiuzulu mwenyewe
Ingawa hakuna ajali za kizembe hivyo

Watu wa serikali ndio wanaongoza kuuwa kwa ajali Tz
Hawana nidhamu na Mkuu wa Police anawaogopa
Pamoja na hilo ila bado tuna sheria mbovu sana za usalama barabarani pia rushwa kuwa kubwa, ukitaka kujua hivyo tembelea nchi ya rwanda suala la ajili liko chini sana kwa sababu ya sheria kali na usimamizi wa sheria hizo, tanzania mtu akiisha jua tu kuendesha gari basi ndo imeisha hivyo
 
Pamoja na hilo ila bado tuna sheria mbovu sana za usalama barabarani pia rushwa kuwa kubwa, ukitaka kujua hivyo tembelea nchi ya rwanda suala la ajili liko chini sana kwa sababu ya sheria kali na usimamizi wa sheria hizo, tanzania mtu akiisha jua tu kuendesha gari basi ndo imeisha hivyo

Sheria mbovu na tutaisha sana

Hao police waliisharuhusiwa kula hongo
Yaani Rais mzima anapanga sheria zake eti hela ya brush
Siwezi kuendesha huko kabisa
 
Dah! Juzi kati Kuna dogo wa Boda kapata ajali kwa kugonga gari ambayo ilisimama ghafla bila ishara yoyote, kumbe ni gari ya Askari.

Kwa kifupi, Dogo aligeuziwa kosa na maelezo yakaandikwa ambayo yangeenda mbele au yule abiria kama angekufa basi dogo alikua anabebeshwa Zigo kubwa sana, anyway ndio maisha tuliyoyachagua

Ukweli mchungu polisi wakiwamo wa usalama barabarani hawafai, hawana ujuzi, ni mzigo na utendaji kazi wao ni manufaa yao binafsi:

Dharau za polisi usalama barabarani

Ukisikia watu wanahojiwa na kuwasifia kwenye zikiwamo kadhia zao nyingi, ni katika kukwepa visasi vyao tu:

Rais Samia: Polisi hawatakiwi kutisha watu wanapowakamata
 
Dah! Juzi kati Kuna dogo wa Boda kapata ajali kwa kugonga gari ambayo ilisimama ghafla bila ishara yoyote, kumbe ni gari ya Askari.

Kwa kifupi, Dogo aligeuziwa kosa na maelezo yakaandikwa ambayo yangeenda mbele au yule abiria kama angekufa basi dogo alikua anabebeshwa Zigo kubwa sana, anyway ndio maisha tuliyoyachagua

unagonga mtu kwa kusimama ghafla na unataka kutetewa!!!!

huu udereva wa wapi??ukiwa barabarani usalama wako dhidi ya chombo cha mbele yako ni juu yako.

story za alisimama ghafla,alikata kona ghafla,alifungua mlango ghafla,sijui aliangusha kopo la maji hazipo.
muachie 3m na zaidi kwa mwendo wa tahadhari,sio unamnusa nyuma kama beberu anatafuta stimu kwa jike.
 
Sheria mbovu na tutaisha sana

Hao police waliisharuhusiwa kula hongo
Yaani Rais mzima anapanga sheria zake eti hela ya brush
Siwezi kuendesha huko kabisa

mkuu wacha kukimbia tatizo kwa kumsingizia rais au mtu mwingine.

polisi wanachukua rushwa kwa matatizo yako,sio yao.wewe umekosa kujitambua halafu mzigo akabebeshwe traffic!!!magu hakuwa mnafiki na ndio dawa ya matatizo.

unashikwa na traffic kwa tyre kipara unampa 5k shida iko kwa magu au kichwa chako kibovu!!!hao madereva wa STL na ndugu zao ni jamii hii hii ya watz wasiojitambua,tofauti kwao ni kwamba hawatoi rushwa zinazowauma wengine kutoa.
 
Ni takribani mwezi na Kidogo tangu gari ya serikali ipate ajali mbaya sana na kuwamaliza abiria wote. Ilikua STL iliyoaminika kuwa ilikua ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Leo Tena gari ya serikali imeondoka na roho 14 za Watanzania ambao ni nyuma Yao wanategemewa na familia zao na ndugu zao.

Kuna tukio lingine (sikumbuki vyema) la gari la Jeshi kusababisha ajali.

Hii ni mifano michache tu inayoumiza saana maana tunavyoandika muda huu Kuna watoto tayari wameshakua yatima... inaumiza sana!

Chanzo Cha ajali nyingi za magari ya serikali ni mwendokasi na kutokujali alama za barabarani huku Askari waliokabidhiwa ada ya kusimamia Sheria na kanuni wakiishia kuwabana Maderava wa magari binafsi.

Magari ya Polisi, Serikali, Jeshi, Mahakama na wengine wa dizaini Yao ndio wanaongoza kwa kuvunja Sheria na kanuni za matumizi ya Barabara bila kuchukuliwa hatua.

Mfano, Leo ni gari ngapi za Polisi ambazo hazina usajili kamili? Zinatumia namba za Malaysia na nchi nyingine as if ni sahihi, mambo kama haya ndio wahalifu kama Akina Sabaya walitumia namba bandia kuvamia makazi ya Mbowe.

STL, STK, STJ, SU, JW na wengine hakuna anayeona kibao Cha 50km/hr Wala Zebra crossing [emoji731]. Wakitaka kupita Wala hawaangalii Wala kuchukua tahadhari yoyote matokeo yake ajali ikitokea Polisi wanakubebesha wewe, rejea ajali ya Tanga ambapo RTO Tanga aliandika maelezo ya uongo.

Wakuu, tumezika sana inatosha, tumelia sana inatosha! Polisi waache kuwaogopa, wasimamie haki.

Pia sio lazima misafara ya Viongozi iendeshwe kwa speed Hali Barabara zetu na magari yetu havina ubora huo. Rejea ajali ya DC wa Moro na yule Mkurugenzi Binti wa Morogoro sikumbuki wilaya.

Nyingi ni uzembe, TUANZE KUWARIPOTI POLISI AMBAO HAWAWACHUKULII HATUA MADEREVA WA SERIKALI wanaovunja Sheria ikiwa ni pamoja na abiria wao kutokufunga mikanda wawapo safarini.

Tujifunze kwa International NGOs Tena hapa bongo ambapo kama Boss au Abiria hajafunga belt dereva anaruhusiwa kutokuondosha gari Hadi ufunge.
Haya yote kasababisha Rais Samia pale tu alipo kemea polisi wa barabarani kutokutumia makosa ya barabarani kama moja ya chanzo cha mapato ,hivyo kusababisha wenye magari na madereva kutokujali chochote maana kipindi cha magufuli ajali zilipungua kwa zaidi ya asilimia 76% kutokana na traffic kuwa wakali na makini kutafuta kila makosa ila sasa ajali zimeongezeka ×3 ya alivyo acha JPM
 
Ni takribani mwezi na Kidogo tangu gari ya serikali ipate ajali mbaya sana na kuwamaliza abiria wote. Ilikua STL iliyoaminika kuwa ilikua ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Leo Tena gari ya serikali imeondoka na roho 14 za Watanzania ambao ni nyuma Yao wanategemewa na familia zao na ndugu zao.

Kuna tukio lingine (sikumbuki vyema) la gari la Jeshi kusababisha ajali.

Hii ni mifano michache tu inayoumiza saana maana tunavyoandika muda huu Kuna watoto tayari wameshakua yatima... inaumiza sana!

Chanzo Cha ajali nyingi za magari ya serikali ni mwendokasi na kutokujali alama za barabarani huku Askari waliokabidhiwa ada ya kusimamia Sheria na kanuni wakiishia kuwabana Maderava wa magari binafsi.

Magari ya Polisi, Serikali, Jeshi, Mahakama na wengine wa dizaini Yao ndio wanaongoza kwa kuvunja Sheria na kanuni za matumizi ya Barabara bila kuchukuliwa hatua.

Mfano, Leo ni gari ngapi za Polisi ambazo hazina usajili kamili? Zinatumia namba za Malaysia na nchi nyingine as if ni sahihi, mambo kama haya ndio wahalifu kama Akina Sabaya walitumia namba bandia kuvamia makazi ya Mbowe.

STL, STK, STJ, SU, JW na wengine hakuna anayeona kibao Cha 50km/hr Wala Zebra crossing 🚸. Wakitaka kupita Wala hawaangalii Wala kuchukua tahadhari yoyote matokeo yake ajali ikitokea Polisi wanakubebesha wewe, rejea ajali ya Tanga ambapo RTO Tanga aliandika maelezo ya uongo.

Wakuu, tumezika sana inatosha, tumelia sana inatosha! Polisi waache kuwaogopa, wasimamie haki.

Pia sio lazima misafara ya Viongozi iendeshwe kwa speed Hali Barabara zetu na magari yetu havina ubora huo. Rejea ajali ya DC wa Moro na yule Mkurugenzi Binti wa Morogoro sikumbuki wilaya.

Nyingi ni uzembe, TUANZE KUWARIPOTI POLISI AMBAO HAWAWACHUKULII HATUA MADEREVA WA SERIKALI wanaovunja Sheria ikiwa ni pamoja na abiria wao kutokufunga mikanda wawapo safarini.

Tujifunze kwa International NGOs Tena hapa bongo ambapo kama Boss au Abiria hajafunga belt dereva anaruhusiwa kutokuondosha gari Hadi ufunge.
Kwenye kadhia hii yapo pia magari ya DFP, DFPA Mkuu.
 
mkuu wacha kukimbia tatizo kwa kumsingizia rais au mtu mwingine.

polisi wanachukua rushwa kwa matatizo yako,sio yao.wewe umekosa kujitambua halafu mzigo akabebeshwe traffic!!!magu hakuwa mnafiki na ndio dawa ya matatizo.

unashikwa na traffic kwa tyre kipara unampa 5k shida iko kwa magu au kichwa chako kibovu!!!hao madereva wa STL na ndugu zao ni jamii hii hii ya watz wasiojitambua,tofauti kwao ni kwamba hawatoi rushwa zinazowauma wengine kutoa.

Rushwa ni mfumo mliotengeneza wote na haitaisha sio njaa bali ndio way of life in most countries

Mimi siishi huko kwa miaka zaidi ya 40 sasa ila nachangia tu
Nilipo sheria zimetungwa na zinafuatwa
Huwezi kuletewa leseni ofisini kama huko, huwezi kusimamishwa ukakutwa umelewa ukaachiwa kisa una hela

Hakuna wa kulaumiwa zaidi ya sheria zinazovunjwa na serikali ikijua hilo
Huku sijavunja sheria kwa zaidi ya miaka 30 na kila leo niko barabarani naendesha na sijawahi kusimamishwa na police unajua kwanini? Sheria kali
 
Back
Top Bottom