Tuungane kupiga vita madawa ya kulevya! Nguvu kazi ya Taifa inateketea sana

Tuungane kupiga vita madawa ya kulevya! Nguvu kazi ya Taifa inateketea sana

Na suala la nyeto lipigwe marufuku mkuu,watu wanaishiwa kweli nguvu za kiume
Wewe mwenyewe ushawahi kupiga nyeto na umewahi kuthibitisha humu, kwa hio ni expert unajua madhara yake sio kwa wanaume tu maana wewe sio Mwanaume Ila unajua kwa wanawake
 
Vijana wanaoharibikiwa na madawa ya kulevya idadi yao ni ndogo ukilinganisha na nguvu kazi kubwa ya vijana waliopoteza muelekeo kwenye maisha kutwa kushinda kubet ushoga etc, na watoto wa kike saiv biashara ni moja tu mjini kudanga..hili janga kubwa sana
Kuna mitaa niljichanganya nikipita chocho mida ya saa 4 tu sexy worker mmoja akanidaka anataka show lasivyo nimlipe buku 4 ndo nipite....
 
mbona mimi nyeto napiga sana na kuzalisha na zalisha nyinyi huwa mnapiga staili gani inawavunja
 
vijana wengi wameharibika kwenye ngono na ushabiki wa mipira kuanzia asubuhi mpaka jioni
 
Wewe mwenyewe ushawahi kupiga nyeto na umewahi kuthibitisha humu, kwa hio ni expert unajua madhara yake sio kwa wanaume tu maana wewe sio Mwanaume Ila unajua kwa wanawake
😳mbona kama unajieleza mno mkuu.....mi sina nguvu za kiume...haya hongera kwa kujielezea vyema😂😂😂😂🐒
 
Back
Top Bottom