Eti salary 2M -3M Sasa mbona walimu Wana unpayable madeni kibao, hyo 2m nadhani ndo mikopo wanayochukua bank2M-3M wa secondary, primary au vyuo vya kati na vyuo vikuu?
Mleta mada anawazungumzia wa primary na secondary, ambao ili afikishe walau 1.8M anakuwa yuko kazini muda mrefu sana,sana,sana.
Unaitwa mwalimu nani vileSisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Shida ni financial mismanagement,, huyu hata umlipe bilion 1,, ni kazi bureEti salary 2M -3M Sasa mbona walimu Wana unpayable madeni kibao, hyo 2m nadhani ndo mikopo wanayochukua bank
Kwa maisha ya sasa million Tatu sijui mbili si kitu, MIMI Kwa wiki tu natumia zaidi million mbili tena hapo sijasafiri kula maishaEti salary 2M -3M Sasa mbona walimu Wana unpayable madeni kibao, hyo 2m nadhani ndo mikopo wanayochukua bank
Sio kweli pesa kuwa nyingi inasaidiaShida ni financial mismanagement,, huyu hata umlipe bilion 1,, ni kazi bure
Yupi huyoUnaitwa mwalimu nani vile
Hawalipwi mishahara?..Wapewe haki zao, kwann waache kazi Kati ni haki yao
NakaziaShida ni financial mismanagement,, huyu hata umlipe bilion 1,, ni kazi bure
Uko opposed na principal,, haijalishi unapata pesa ngapi kama una mismanage,, ni kazi bure,,Sio kweli pesa kuwa nyingi inasaidia
Salary laki 3 halafu mwanao unampeleka shule ya mil. 1.9 lazima utesekeUko sahihi
Hhhahaha siwaondoke kwenye hicho Chama??Wana chama Chao - CWT,hiki chama ndio tatizo
DuuuhSalary laki 3 halafu mwanao unampeleka shule ya mil. 1.9 lazima uteseke
Hapana serikali haitakaa kuona mnashida Kwa sababu wapo ila kama wangekosa kila mahali na hata shuleni ukasikia hakuna ambaye anasomea huu ujinga wangewafikiriaHapana jamani wanatia huruma jamani
AaaahaaaaSisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Watu wajinga kama wewe ndo sababu ya taifa hili kuendelea kua masikini.Mkiwa mnaandika muwe mnafikiria kwanza katika Watumishi wa Umma Tanzania 1/2 ya Watumishi wote ni walimu wakifuatiwa na Maaskari & Madaktari/wahudumu wengine wa Afya.Watumishi ambao hawapo katika hizo kada ni wachache mno.
Ninacho manisha ni kuwa mapato ya Serikali 3/4 ya mapato yanakwenda kwenye mshahara,ukosema uongeze mishara kwa walimu ni kusababisha matatizo mengine ya kiuchumi.
Hats hivyo,Walimu na Maaskari wana muda mwingi wa ziada wa kufanya shuhguli zingine tofauti na Watumishi wengine.
Usiwashambulie wagogo aisee hizi tabia zilishapigwa marufuku tangu enzi za mwl. Nyerere baba wa Taifa hili kwaio jenga hoja acha ukabila.Kumbe unaropokaropoka tu hata mishahara yao huijui! Ndiyo maana umeambiwa wagogo ni wachafu.
Walimu 80% wawe na financial mismanagement sio kweli kabisa.Walimu wapewe teaching allowance wafuraie kaziShida ni financial mismanagement,, huyu hata umlipe bilion 1,, ni kazi bure
Kweli kabisa ila nahisi mama atafanya kweli may mosi ya mwaka huuWalimu 80% wawe na financial mismanagement sio kweli kabisa.Walimu wapewe teaching allowance wafuraie kazi
Sahau,, yaani aongeze mwaka jana halafu mwaka huu tena?, Hiyo hela imetoka wapi, maana hata akiongeza buku tano, bado ni hela ndefu mnoKweli kabisa ila nahisi mama atafanya kweli may mosi ya mwaka huu