Tuvalu: Ifahamu nchi yenye urefu wa Kilomita 12 na mtaa mmoja raia wake wote wanafahamiana

Tuvalu: Ifahamu nchi yenye urefu wa Kilomita 12 na mtaa mmoja raia wake wote wanafahamiana

Bei gani kwenda huko?
👇
Kufika huko si mchezo. Nilienda huko kupitia Fiji. Nilitoka Dar kupitia Abudhabi masaa ma 5 na nusu, Abudhabi Melbourne Australia 15 hrs non stop, Melbourne to Fiji masaa 5 na nusu. Then ndege ya kwenda Suva Fiji saa moja. Then kwenda Kisiwani. Nauli yake ujiandae.
 

Kufika huko si mchezo. Nilienda huko kupitia Fiji. Nilitoka Dar kupitia Abudhabi masaa ma 5 na nusu, Abudhabi Melbourne Australia 15 hrs non stop, Melbourne to Fiji masaa 5 na nusu. Then ndege ya kwenda Suva Fiji saa moja. Then kwenda Kisiwani. Nauli yake ujiandae.
Asante,inaonekana itakua gharama sana nauli ya huko
 
Ongeza picha
1740594071671.png
 
nchi nzima ina wafungwa 3
Na mfungwa unaruhusiwa kwenda kufanya kazi, jioni unarudi gerezani.

Bongo waige hii kwa wafungwa wa kesi ndogo ndogo.

Unakua unaruhusiwa kwenda mishe, jioni unarudi na posho segadance
 
Ilah kuna visu aiseee kuna mshangazi apo dakika za mwisho nimemuona kala gauni jeupe sihaba
 
Kulikuwa hakuna umuhimu wa kuweka barabara,km 12 tu,kungekuwa na vinjia tu

Hcho kisiwa kimetokana na maeneo hayo kuwepo makutanio ya upepo yaliyosababisha kujaza mchanga maeneo hayo,kwangu mim sio salama kuishi hapo
Ni kweli hata wao wanasema "...we are sinking"
 
Cha ajabu last Olympic games huko France walipeleka wanamichezo wengi kuzidi Tanzania
 
Back
Top Bottom