πBei gani kwenda huko?
Kufika huko si mchezo. Nilienda huko kupitia Fiji. Nilitoka Dar kupitia Abudhabi masaa ma 5 na nusu, Abudhabi Melbourne Australia 15 hrs non stop, Melbourne to Fiji masaa 5 na nusu. Then ndege ya kwenda Suva Fiji saa moja. Then kwenda Kisiwani. Nauli yake ujiandae.
π
Asante,inaonekana itakua gharama sana nauli ya hukoKufika huko si mchezo. Nilienda huko kupitia Fiji. Nilitoka Dar kupitia Abudhabi masaa ma 5 na nusu, Abudhabi Melbourne Australia 15 hrs non stop, Melbourne to Fiji masaa 5 na nusu. Then ndege ya kwenda Suva Fiji saa moja. Then kwenda Kisiwani. Nauli yake ujiandae.
Na mfungwa unaruhusiwa kwenda kufanya kazi, jioni unarudi gerezani.nchi nzima ina wafungwa 3
Popote ukiwa mgeni unajulikana si mwenzao, tofauti na sehemu nyingine hapo watajua nchi nzimaDah! Ukiwa mgeni chap wanajua huyu si mwenzetu
Nilienda huko 2017. Gharama kubwa ndioAsante,inaonekana itakua gharama sana nauli ya huko
Sema ukiwa mgeni mbususu unatoaje?Sasa mbususu ukiwa mgeni. Unapataje
Hii Tuvalu ipo Oceania kama sikoseiPopote ukiwa mgeni unajulikana si mwenzao, tofauti na sehemu nyingine hapo watajua nchi nzima
Kulikuwa hakuna umuhimu wa kuweka barabara,km 12 tu,kungekuwa na vinjia tu
Ni kweli hata wao wanasema "...we are sinking"Kulikuwa hakuna umuhimu wa kuweka barabara,km 12 tu,kungekuwa na vinjia tu
Hcho kisiwa kimetokana na maeneo hayo kuwepo makutanio ya upepo yaliyosababisha kujaza mchanga maeneo hayo,kwangu mim sio salama kuishi hapo