TUVALU:- Nchi iliyopo hatarini kumezwa na bahari.

Kwanini tusiende kuwatawala tunasubiri nn?
Tuvalu ni nchi ambayo hautakiwi kuwa na visa ili uingie. Lakini pia ni nchi inayopata wageni wachache sana.
  • Ndege za kwenda huko ni adimu sana
  • Nchi haipokei credit card
  • Nchi nzima haina ATM 🏧 machines
  • Nchi nzima kuna Hotel moja tu na guest Houses chache sana
 
Nikikua najua Fiji ndo nchi ndogo kiliko zote duniani kumbe kuna Tuvalu
 
Kuna mamantilie kweli huko ?

Au tukienda itatubidi tubebe "indyali" kutoka Kiwira sokoni, tukifika tutaazima masufuria tu kwa wenyewe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…