IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Gruu hana nywele ni balding π¨βπ¦²
Acha mambo yako wewe picha ya mwaka jana unaitumia leoπHiyo nilitumiwa mwaka jana na ofisi niweke status kwa ajili ya birthday ππππ
Hadi OVER kweli...Hii hela inaleta shida sana πππWanawake tuwe na msimamo basi....
Tunataka hela au machangamshooo.
Binafsi nataka hela machangamsho yatakuja yenyeweee...
OVER
Ndio iliyokaribu na mimi si mpenzi wa kupiga picha sana hapo kwenye walinivizia nilikua nacheki headlines asubuhi nilipokua ofisini...Acha mambo yako wewe picha ya mwaka jana unaitumia leoπ
ndugu ye34nbe ikiwezekana uwe unapitia kila post yangu unipige dislike nataka kuongoza kwa dislikes humu JFπNdio iliyokaribu na mimi si mpenzi wa kupiga picha sana hapo kwenye walinivizia nilikua nacheki headlines asubuhi nilipokua ofisini...
SawaNjoo kwangu minimpole zaidi ya huyo...π
Hizi kiki kweli ni mambo ya kufosifosi πππndugu ye34nbe ikiwezekana uwe unapitia kila post yangu unipige dislike nataka kuongoza kwa dislikes humu JFπ
big up brother π
ndugu umepotea kule uzi pendwa ...wa DAR vs NAIROBIHawa viumbe hawa, very complicated, ukitulia hataki, ukiwa kiherehere hataki....
ππππ Hajamaanisha kama Wewe ulivyo maanisha, ya kichwaniAnauliza hiyo minywele ya wapi uliyoionaπππ
Kichwa kipi cha juu au cha....ππππππππ Hajamaanisha kama Wewe ulivyo maanisha, ya kichwani
sas kama kutakuwa na tuzo siku za usoni za kupata dis hutak nishimde?Hizi kiki kweli ni mambo ya kufosifosi πππ
Cha juuπC kipi cha juu au cha....ππππ
huoni hapo niko na nyweleπ€£ huwa nachagua kunyoa nikiamua naziacha zinakuaπGruu hana nywele ni balding π¨βπ¦²
Tena ukizingatia kufunuliwa ndo kilimchomfanya awe naye..!! Hayo mengine hata kwa babaake anaweza yapata akiamuaMuhimu anajua kufunuana usiku
Hayo mengine ya kuchangamka atachangamka akikuzoea sana